Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa selo ndugu zako wakikuletea mazaga kama misosi gonga na wanao mlio selo
Mawazo yanakuwa mengi iwe umeingia kihalali au umeonewa ila jitahidi piga stori cheka na wanaselo wenzako kupunguza msongo wa mawazo
Mbususu za wafungwa wenzio wa kiume au Mbususu zipi.Jela uwe na hela hata mbususu utachakata, utakula vizuri, utafuliwa, nk
Aminia mkuu...Isisi rujewa[emoji2]
KIRIKIRIIla kuna jamaa aliwahi kusema gereza hatari Africa namba moja lipo Nigeria hilo gereza Africa nzima ni kiboko yaan Jehanamu ikasome ni sawa umeongizwa kuzimu, nimesahau jina
Assume me ni nyapara nimekutandika viboko miaka 5 halafu siku moja tunakutana uraian,utanifanyaje?Kuna ubabe wa kifala sana.
Mwanaume hana mbususuMbususu za wafungwa wenzio wa kiume au Mbususu zipi.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Mfungwa anakua msaidizi(kama 20 hivi)..Wapishi wa jela huwa ni kinanani?,wafungwa?au askari?
Yap man jela hawaangaliii jinaChanzo cha 2Pac kumdiss Chino XL
2Pac alienda Jela nyuma Chino XL akatunga ngoma inaitwa Riiiiot ndani hio ngoma anasema "siwezi kwenda Jela nisije nikabakwa km 2Pac"
Pac alipotoka Jela na kuzinguana na Biggie ambae aliiba idea ya ngoma Get Money kutoka kwa 2Pac kupitia Faith Evans ambae alivujisha ujio wa hio ngoma ya 2Pac, Junior Mafia wakafanya Get Money ikatoka Pac akachukia akaita kikosi chake akafuta lyrics zote original za Hit Em Up akaandika lyrics mpya za diss track na katika hio diss track mwishoni anasema "Fack Chino XL" sababu Chino XL alimuimba kua 2Pac alipokua Jela alitatuliwa Malinda kinguvu yaani alibakwa na wazee wa Jela
Jela sio kuzuri
Mkuu, sehem nyingi kwenye wafungwa hua naona manyapara wanavonyanyasa wafungwa. Hasahasa kwenye kazi ngumu, unakuta nyapara anatembeza mjeledi hatari kwa wafungwa.Mfungwa anakua msaidizi(kama 20 hivi)..
Hawawezi kuwaacha mpike mnaweza kuweka FORODANI...
Ila kama unajua kukanda maandazi/kuchoma chapati ndo afadhali yako
"Na sema: hii ni haki itokayo kwa mola wenu, basi anayetaka aamini na anayetaka na akufuru, hakika sisi tumewaandalia madhalimu moto ambao zimewazunguka wao kuta zake {wamefungiwa}, na wakiomba msaada watasaidiwa kwa kupewa maji kama shaba iliyoyeyushwa, yatakayowababua nyuso zao, kinywaji hicho ni kiovu mno! na matandiko maovu mno ya kupumzikia ni hayo!."Ukiweza ishi jela za bongo huwezi shindwa ishi jehanamu
Yes ndio hilo hilo,KIRIKIRI
Niliishia maabusu, mule ndani nilimkuta mzee mmoja ana kesi ya kumpiga mkewe, cha ajabu mkewe huyo huyo aliempiga ndie aliemletea chakula usiku...Pana mtu nilimsikia akisema. Jela huwa haina wafungwa wapya bali ni wale wale wanajirudia tu. Anamanisha jela ni roho yaani kama kwenye ukoo pana mtu keshawahi kaa jela possible ya kuingia jela, lakini kama Hakuna historia ya ndugu kuwepo jela ni ngumu kuingia jela.
Anaweza akawa kweli thus kwa wengi ukitoka jela uruhusiwi kuingia ndani ya mji wako au wenu bila kutakaswa kuondolewa mikosi ikiwemo vitu vyako ikiwemo nguo kuchomwa moto, kuoga na kwenda kusomewa dua au maombi. Huku unalala nje siku tatu, ndipo unakaribishwa nyumbani kwako.
[emoji419][emoji419]"Na sema: hii ni haki itokayo kwa mola wenu, basi anayetaka aamini na anayetaka na akufuru, hakika sisi tumewaandalia madhalimu moto ambao zimewazunguka wao kuta zake {wamefungiwa}, na wakiomba msaada watasaidiwa kwa kupewa maji kama shaba iliyoyeyushwa, yatakayowababua nyuso zao, kinywaji hicho ni kiovu mno! na matandiko maovu mno ya kupumzikia ni hayo!."
Qur'an 18:29
Mkuu usifananishe jahannam na vitu vya ajabu, lau ungeijua maana ya jahannam ungelia umri wako wote wala usipate furaha katu.
Nb: sijaja kuharibu uzi nimetia neno tu.