Uzi wa kufundishana maisha ya Jela na selo

Uzi wa kufundishana maisha ya Jela na selo

Nimeshawahi kumwangushia mti wa miba mshkaji wangu wa home kabisa na sijui kama alipona,nahisi alifia hospital...
Alikua shoga tena aliolewa na cleaner,roho iliniuma sana..

Siku moja tunakata ile miti ya miiba(alikua mlaini mlaini hivi halafu hapendi kazi ngumu)..."nkamwambia kinega (nlikua namwita ivo) ondoka upande huo mti unaangukia huko,nenda kachukue panga zile pale chini"
Alipoenda ndio nkamalizia kukata mti ukampigiza mpaka chini na kumfunika kabisa....(MUNGU ANISAMEHE KWA DHAMBI HII)

Ila nilipigwa sana mpaka nkagoma kupigwa na nlipiga kelele nyingi mikwara kibao...na hela walizokuwa wanapewa na bro ili wasinitese,basi MP akanipa mkanda nikawa KIHEREHERE
Maniner walahi
 
Wewe ni Muuaji,yeye alikuwa anatumia viungo vyake wewe unakereka Nini Hadi umuue?
We kakwambia nani,mtoto wa kiume unamfulia mashuka mwanaume mwenzio,halafu ukiulizwa kitu chochote unanitaja mimi!!
Maana yake nini alitaka masela waje waniombe mpango...

Njaa zake na urafi ndo vilifanya afe....mwanaume unashikwa matako na unaambiwa unanukia mbunye halafu unakeneka tu
 
Iwe ulikusudia ama kwa bahati mbaya ila ujue ulifanya poa sana. Mashoga ni watu ninao wachukia sana yaani una pelekewa moto kwenye haja kubwa huo ni ufusika sana.
Nimeshawahi kumwangushia mti wa miba mshkaji wangu wa home kabisa na sijui kama alipona,nahisi alifia hospital...
Alikua shoga tena aliolewa na cleaner,roho iliniuma sana..

Siku moja tunakata ile miti ya miiba(alikua mlaini mlaini hivi halafu hapendi kazi ngumu)..."nkamwambia kinega (nlikua namwita ivo) ondoka upande huo mti unaangukia huko,nenda kachukue panga zile pale chini"
Alipoenda ndio nkamalizia kukata mti ukampigiza mpaka chini na kumfunika kabisa....(MUNGU ANISAMEHE KWA DHAMBI HII)

Ila nilipigwa sana mpaka nkagoma kupigwa na nlipiga kelele nyingi mikwara kibao...na hela walizokuwa wanapewa na bro ili wasinitese,basi MP akanipa mkanda nikawa KIHEREHERE
 
We kakwambia nani,mtoto wa kiume unamfulia mashuka mwanaume mwenzio,halafu ukiulizwa kitu chochote unanitaja mimi!!
Maana yake nini alitaka masela waje waniombe mpango...

Njaa zake na urafi ndo vilifanya afe....mwanaume unashikwa matako na unaambiwa unanukia mbunye halafu unakeneka tu
😂😂😂😝
 
Kazi ngumu bro,
Nakumbuka siku moja kuna gogo tulienda kubeba kuleta jikoni,umbali kama mt 50 tu, tulikua 15 tukashindwa kuliweka begani.

Nyapara tuliekua nae akaenda kwa mkuu akamwambia "niongezee nguvu wale jamaa wameshindwa"
Alitandikwa vibao, halafu akaja yeye na wenzie kama wa3 hivi.

Mkuu hukuwepo ila niamini tulibeba gogo likakaa begani na akaanza kupunguza mmoja mmoja mpaka tukabaki 8.

Hapa siongelei magereza yenu ya town(kazi kubwa kumwagilia maua na kufyeka majani). NGWALA,SONGWE,KISONGO,MAWENI,MPECHI na ISISI usiombe ukaingia hizi ngome....

ROHO YAKO MWILI WAKWETU
Na wanautumia kweli
Dahhh!umepitia vingi.
 
Kama hilo wanaita NGWALA lipo milima ya chunya kama unaenda tabora(hii ni shortcut) gereza lipo katikati ya mbuga hata hamlindwi kama utaweza kimbia....
Naskia unavopelekwa gerezani njiani ni mafuvu tu...

Na kila baada ya mwezi wanachukuliwa wafungwa kadhaa wanapelekwa kuongeza nguvu(escoter)....
Ili ubaki inatakiwa uhonge 100k kila inapokuja escoter..,asikwambie mtu huwa wanalia watu(hawataki kwenda na hela ya kuhonga hawana) kama watoto muulize mtu anaepasikia ngwala akwambie..

NB:LILIJENGWA NA WAKOLONI KAMA MAXMUM SECURITY KIPINDI HIKO...kwa wafungwa wasumbufu..
 
Kazi ngumu bro,
Nakumbuka siku moja kuna gogo tulienda kubeba kuleta jikoni,umbali kama mt 50 tu, tulikua 15 tukashindwa kuliweka begani.

Nyapara tuliekua nae akaenda kwa mkuu akamwambia "niongezee nguvu wale jamaa wameshindwa"
Alitandikwa vibao, halafu akaja yeye na wenzie kama wa3 hivi.

Mkuu hukuwepo ila niamini tulibeba gogo likakaa begani na akaanza kupunguza mmoja mmoja mpaka tukabaki 8.

Hapa siongelei magereza yenu ya town(kazi kubwa kumwagilia maua na kufyeka majani). NGWALA,SONGWE,KISONGO,MAWENI,MPECHI na ISISI usiombe ukaingia hizi ngome....

ROHO YAKO MWILI WAKWETU
Na wanautumia kweli
Yote hayo umekaa wewe?😂😂😂 Jf kuna wandewa tunawachukulia poa
 
Hivi magereza ya Bongo huwezi fanya mautundu kama yale ya Michael Scofield?
Kama hilo wanaita NGWALA lipo milima ya chunya kama unaenda tabora(hii ni shortcut) gereza lipo katikati ya mbuga hata hamlindwi kama utaweza kimbia....
Naskia unavopelekwa gerezani njiani ni mafuvu tu...

Na kila baada ya mwezi wanachukuliwa wafungwa kadhaa wanapelekwa kuongeza nguvu(escoter)....
Ili ubaki inatakiwa uhonge 100k kila inapokuja escoter..,asikwambie mtu huwa wanalia watu(hawataki kwenda na hela ya kuhonga hawana) kama watoto muulize mtu anaepasikia ngwala akwambie..

NB:LILIJENGWA NA WAKOLONI KAMA MAXMUM SECURITY KIPINDI HIKO...kwa wafungwa wasumbufu..
 
Hivi magereza ya Bongo huwezi fanya mautundu kama yale ya Michael Scofield?
Hapana,haiwezekani miundombinu bado ni duni sana maybe uvunje kwa kutumia nguvu...ndio maana wengi wanatoroka tym mpo kazini,mahakamani au wakiwa escoted...
ujanja jela ni kutengeneza meno bandia kwa kutumia 200(shilingi) halafu ubadirishane na wali canteen.

NB:FENCE YA JELA NI ZEGE,NONDO NA CEMENT TU... Sasa kama utaingia na drill labda utafanikiwa kuvunja....
JIKO LA JELA HALIJAWAHI ZIMWA NA HALITOZIMWA KAMWE...
 
Back
Top Bottom