Nimeshawahi kumwangushia mti wa miba mshkaji wangu wa home kabisa na sijui kama alipona,nahisi alifia hospital...
Alikua shoga tena aliolewa na cleaner,roho iliniuma sana..
Siku moja tunakata ile miti ya miiba(alikua mlaini mlaini hivi halafu hapendi kazi ngumu)..."nkamwambia kinega (nlikua namwita ivo) ondoka upande huo mti unaangukia huko,nenda kachukue panga zile pale chini"
Alipoenda ndio nkamalizia kukata mti ukampigiza mpaka chini na kumfunika kabisa....(MUNGU ANISAMEHE KWA DHAMBI HII)
Ila nilipigwa sana mpaka nkagoma kupigwa na nlipiga kelele nyingi mikwara kibao...na hela walizokuwa wanapewa na bro ili wasinitese,basi MP akanipa mkanda nikawa KIHEREHERE