Uzi wa kufundishana maisha ya Jela na selo

Uzi wa kufundishana maisha ya Jela na selo

We kakwambia nani,mtoto wa kiume unamfulia mashuka mwanaume mwenzio,halafu ukiulizwa kitu chochote unanitaja mimi!!
Maana yake nini alitaka masela waje waniombe mpango...

Njaa zake na urafi ndo vilifanya afe....mwanaume unashikwa matako na unaambiwa unanukia mbunye halafu unakeneka tu
Hii Kali mwanaume unaambiwa unanukia mbunye unakenua😱😱😱😱😱
 
Kama hilo wanaita NGWALA lipo milima ya chunya kama unaenda tabora(hii ni shortcut) gereza lipo katikati ya mbuga hata hamlindwi kama utaweza kimbia....
Naskia unavopelekwa gerezani njiani ni mafuvu tu...

Na kila baada ya mwezi wanachukuliwa wafungwa kadhaa wanapelekwa kuongeza nguvu(escoter)....
Ili ubaki inatakiwa uhonge 100k kila inapokuja escoter..,asikwambie mtu huwa wanalia watu(hawataki kwenda na hela ya kuhonga hawana) kama watoto muulize mtu anaepasikia ngwala akwambie..

NB:LILIJENGWA NA WAKOLONI KAMA MAXMUM SECURITY KIPINDI HIKO...kwa wafungwa wasumbufu..
Nimeisikia sana hii gereza kule mbeya
 
Hapana,haiwezekani miundombinu bado ni duni sana maybe uvunje kwa kutumia nguvu...ndio maana wengi wanatoroka tym mpo kazini,mahakamani au wakiwa escoted...
ujanja jela ni kutengeneza meno bandia kwa kutumia 200(shilingi) halafu ubadirishane na wali canteen.

NB:FENCE YA JELA NI ZEGE,NONDO NA CEMENT TU... Sasa kama utaingia na drill labda utafanikiwa kuvunja....
JIKO LA JELA HALIJAWAHI ZIMWA NA HALITOZIMWA KAMWE...
Unamaanisha nini meno bandia Kwa 200?
 
Nimeshawahi kumwangushia mti wa miba mshkaji wangu wa home kabisa na sijui kama alipona,nahisi alifia hospital...
Alikua shoga tena aliolewa na cleaner,roho iliniuma sana..

Siku moja tunakata ile miti ya miiba(alikua mlaini mlaini hivi halafu hapendi kazi ngumu)..."nkamwambia kinega (nlikua namwita ivo) ondoka upande huo mti unaangukia huko,nenda kachukue panga zile pale chini"
Alipoenda ndio nkamalizia kukata mti ukampigiza mpaka chini na kumfunika kabisa....(MUNGU ANISAMEHE KWA DHAMBI HII)

Ila nilipigwa sana mpaka nkagoma kupigwa na nlipiga kelele nyingi mikwara kibao...na hela walizokuwa wanapewa na bro ili wasinitese,basi MP akanipa mkanda nikawa KIHEREHERE
Jela hukwenda kwa bahati mbaya
 
Tsh 200..hii ya karume,sasa ile shilingi unaikwangua mpaka inabaki shaba tupu..then unaikunja size ya jino(kama zile za wasanii Wanaweka mdomoni) GOLD SLUG...

jino moja kwa plate moja ya ubweche.
Mh wenzangu kama kuna aliyeelewa hii ishu ya 200 anayoiongelea MAWEED atusaidie kufafanua.
 
Hivi magereza ya Bongo huwezi fanya mautundu kama yale ya Michael Scofield?
Ole wako..utapigwa chuma ya kisogo...ingawa wapo watu wanatoroka....ishatokea jamaa alitoroka jela kwakua alikua ameaminiwa sababu alikua amebakizA mda mdogo kutoka..sasa mfungwa akitoroka askari anashushwa cheo kimoja..sasa uyo askari akaenda kwa mganga wa vitabu..jamaa alivutwa kishirikina akaenda adi mji wenye gereza akashikwa kama kuku😬😬😂😂...mmoja yeye alitoroka mchana wakati wa kula kama vumbi...hii ni jela moja kanda ya kati..huyu hakuwahi kushikwa maana mganga aliemsaidia ni hatari
 
Hiv hizi inshu za uganga za namna hii kumbe zipo? Sema inshu hao wa namna hiyo ndio mtihani haswa.
Ole wako..utapigwa chuma ya kisogo...ingawa wapo watu wanatoroka....ishatokea jamaa alitoroka jela kwakua alikua ameaminiwa sababu alikua amebakizA mda mdogo kutoka..sasa mfungwa akitoroka askari anashushwa cheo kimoja..sasa uyo askari akaenda kwa mganga wa vitabu..jamaa alivutwa kishirikina akaenda adi mji wenye gereza akashikwa kama kuku[emoji51][emoji51][emoji23][emoji23]...mmoja yeye alitoroka mchana wakati wa kula kama vumbi...hii ni jela moja kanda ya kati..huyu hakuwahi kushikwa maana mganga aliemsaidia ni hatari
 
Back
Top Bottom