Uzi wa kufundishana maisha ya Jela na selo

Uzi wa kufundishana maisha ya Jela na selo

Ipo
Hiv hizi inshu za uganga za namna hii kumbe zipo? Sema inshu hao wa namna hiyo ndio mtihani haswa.
Zipo..huyo bibi ni gwiji la kesi...sasa uyo jamaa alifungwa alafu ndio ndugu zake washastuka mwishoni.. ikabidi waende kwa bibi..akawapa dawa wakaweka kwenye...... Ikafika kwa muhusika..kilichofata historia mazafaka
 
Say God forgive me............huko hakuna baunsa........jail kamuulize mandela nusu atoe ndogo..........
Chanzo cha 2Pac kumdiss Chino XL

2Pac alienda Jela nyuma Chino XL akatunga ngoma inaitwa Riiiiot ndani hio ngoma anasema "siwezi kwenda Jela nisije nikabakwa km 2Pac"

Pac alipotoka Jela na kuzinguana na Biggie ambae aliiba idea ya ngoma Get Money kutoka kwa 2Pac kupitia Faith Evans ambae alivujisha ujio wa hio ngoma ya 2Pac, Junior Mafia wakafanya Get Money ikatoka Pac akachukia akaita kikosi chake akafuta lyrics zote original za Hit Em Up akaandika lyrics mpya za diss track na katika hio diss track mwishoni anasema "Fack Chino XL" sababu Chino XL alimuimba kua 2Pac alipokua Jela alitatuliwa Malinda kinguvu yaani alibakwa na wazee wa Jela

Jela sio kuzuri
 
Kama hilo wanaita NGWALA lipo milima ya chunya kama unaenda tabora(hii ni shortcut) gereza lipo katikati ya mbuga hata hamlindwi kama utaweza kimbia....
Naskia unavopelekwa gerezani njiani ni mafuvu tu...

Na kila baada ya mwezi wanachukuliwa wafungwa kadhaa wanapelekwa kuongeza nguvu(escoter)....
Ili ubaki inatakiwa uhonge 100k kila inapokuja escoter..,asikwambie mtu huwa wanalia watu(hawataki kwenda na hela ya kuhonga hawana) kama watoto muulize mtu anaepasikia ngwala akwambie..

NB:LILIJENGWA NA WAKOLONI KAMA MAXMUM SECURITY KIPINDI HIKO...kwa wafungwa wasumbufu..
Ila kuna jamaa aliwahi kusema gereza hatari Africa namba moja lipo Nigeria hilo gereza Africa nzima ni kiboko yaan Jehanamu ikasome ni sawa umeongizwa kuzimu, nimesahau jina
 
Ole wako..utapigwa chuma ya kisogo...ingawa wapo watu wanatoroka....ishatokea jamaa alitoroka jela kwakua alikua ameaminiwa sababu alikua amebakizA mda mdogo kutoka..sasa mfungwa akitoroka askari anashushwa cheo kimoja..sasa uyo askari akaenda kwa mganga wa vitabu..jamaa alivutwa kishirikina akaenda adi mji wenye gereza akashikwa kama kuku[emoji51][emoji51][emoji23][emoji23]...mmoja yeye alitoroka mchana wakati wa kula kama vumbi...hii ni jela moja kanda ya kati..huyu hakuwahi kushikwa maana mganga aliemsaidia ni hatari
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tsh 200..hii ya karume,sasa ile shilingi unaikwangua mpaka inabaki shaba tupu..then unaikunja size ya jino(kama zile za wasanii Wanaweka mdomoni) GOLD SLUG...

jino moja kwa plate moja ya ubweche.
Jino la shaba wanalipeleka wapi mkuu au wanatengeneza Funguo ya kutokea nje ya Jela? 😂 Njaa sio nzuri Jela daah plate moja ya wali kwa 200 ya shaba wakati huku mtaani plate moja 2000? Wapi kuna nafuu? Ndio maana kuna wahuni wakirudi wanaona bora wakinukishe warudi Jela tu

Kuna jamaa alienda Jela kwa kukamatwa na mali ya Wizi akakaa mwaka akatoka, aliporudi uraiani akaona hapamfai kabisa akapiga tukio akapigwa miezi 6, akamaliza akarudi uraiani akawaza apige tukio gani ambalo litampa tiketi ya moja kwa moja maisha yake yote aishi Jela, akaona amlawiti albino na kipindi hicho ukibainika umemgusa albino yamekwisha unapigwa mvua ndefu, jamaa alidakwa red handed anamlawiti albino nnavyokwambia alipigwa mvua hadi leo yupo Jela hajatoka ng'o Yule atafia kule kule ndani

Kwa hio kuna watu wanapenda kuishi Jela kuliko kuishi uraiani hao wapo,
 
Nakumbuka 2019,nilikua mahabusu pale ISISI gerezani,sasa wakati tunasubiri kupewa jezi(zile za orange) na kukaguliwa,TV ilikua imewashwa tunaangali kuna jamaa alikuja dirishani akasema.

"rasta rasta huo umeme wa magufuli rasta haaya,mtaulipia rastaa"
aliongea kwa uchungu na tuliulipia kweli dadeki..
Isisi rujewa[emoji2]
 
Back
Top Bottom