Uzi wa kufundishana maisha ya Jela na selo

Maisha ya Jela sio mchezo hata kidogo!.

Sitosahau siku napelekwa kwa mara ya kwanza Gerezani kukaa siku 14,kiukweli mwanzo unaweza kuona ni kama utani vile ila baada ya siku 3 ndiyo unaanza kuamini kweli nipo Gerezani.

Nashukuru Mungu ni sehemu ya maisha ila nilipata Funzo.
 
Waganga wa vitabu ndo wakoje na huwa maeneo yapi mkuu kama hautajalj
 
Duuh
 
Tupe experience mkuu
 
Duuh
 
Hahaha
 
Mmh
 
Ile ni best diss track in my whole life ni motoooo
 
Duuh
 
Toka lini mahabusu wakapewa jezi?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…