Uzi wa kukaribishana kupata chakula

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Ni vizuri kama marafiki tuwe tunakaribishana katika kupata chai,mlo wa mchana,mlo wa jioni na mlo wa usiku.Tunaamini mada zingine huwa zinakuja baada ya kushiba....Mwana jf popote pale ulipo tukaribishe kwa aina ya chakula unachokula na pia 'location' kama inawezekana. Naanza kwa kuwakaribisha karibuni tupate nyama ya mbuzi, maeneo ya morombo......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…