Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kiimani, mtu hataishi kwa mkate tu bali....Saa 7 imefika ila mambo hayasomeki..ka mkate nilikokula kanisani hope katanifikisha usiku
ha ha haMpaka sasa watu hawajakaribishana inamaana jiwe amebana sana mpaka sahivi hamjala
ha ha haMwishowe ukaribishe watu wa Idarani bure, ukute ushatoa povu Sana kule jukwaa la siasa.
Kesi hizi.
Asante mkuu,inatumikaje hiyo?Karibuni chai na pilipili
Zipo mkuu,jaribu kuzunguka hapo nyuma utazionaMna bahati hamna dustbin humu ndani ningetupa foil nilizofungia dagaa zangu za kigoma
ha ha ha kapicha mkuu itakuwa vizuri zaidiKaribuni wali harage na soya beans
Nimemaliza bossha ha ha kapicha mkuu itakuwa vizuri zaidi
ha ha ha sawa mkuuNimemaliza boss
Kinaruhusiwa mkuu,walaji tupokitimoto kinaruhusiwa hapa?
Samaki wako wapi mkuu?
Ndo alopiga picha [emoji23][emoji23]Samaki wako wapi mkuu?
Mkuu,tuambie na wewe unakula niniNdo alopiga picha [emoji23][emoji23]