Woyoooooooo nakufahamu wakunyumba shemeji yangu sijui yuko api leo siku nitampa tuzo yake ya uvumilivuBut why.????? Nina shida gani mie lakini? Wakunyumba mi napenda kuliko neno mapenzi ila mpaka nipende jamani si jambo dogo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe mpaka huko alikwambia me aliniambia kwenye story entertainmentNakumbuka hii kauli yako ilikua usiku mnene sana siku ile
Davet anatembea na roho yangu jamani nimemnywa yeye tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umekunywa nini wewe leo?
Hahah!!Patanoga
hivi una nini lakini shunie?Na we upo na mastress na upweke unakesha kwenye huo uzi
Na simuachi na yeye aniache nampenda D wangu nampenda Davet wanguHapana mimi ndio nasema achwe aachweee
Namkubali sana kijana
He! Gentamycine umemwaga?Hapana jamani kwa Davet nimefika kigoma mwisho wa reli kibonge mm ninavyobebwa kijana wa watu hajali uzito wangu wala manyama uzembe yangu ananibeba ananibinua binua nani ataweza kunibeba shunie mm
Shida hayupo wa ukweli ukweli. Mkaka mmoja hiviii tunapendana pendana ila anachokaa. Kila siku crush this crush that.Woyoooooooo nakufahamu wakunyumba shemeji yangu sijui yuko api leo siku nitampa tuzo yake ya uvumilivu
Eti anaita uzi wa mastress na upwekeHivi Shunie kwa nn unasemaga uzi wangu
Ulikukosea nn?
Hebu leo niambie
Ameshazamia na me nimezama kabisa mtuwache jamani hivi mnapenda kusikia me ni chizi sababu ya hamu kunizidia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo Samaritan hapana jamani
Aya sawa siwajari sasa embu tutoke humu ndani mara moja tutarudi baadaeBabe achana nao yote hiyo ni wivu wana hamu ya kunimiliki kibonge mm lakini hawaniwezi nani ataweza nibeba kama unavyonibeba kuna mda namwambia Mungu wangu kwa nini hajanionyesha mapema
[emoji8][emoji8][emoji8] nakupenda D wangu mm D wa shunie tu nyakunyaku ole wenu niwajue mkae mbali
Unajua nang'atwa na mbu[emoji28] [emoji28] [emoji28] sijui umejificha wapiThank you Mrs
Happy Easter
NdiyoNdio itasaidia kujua kwa nn anaitwa MOTP?
Jamani haujanikosea kitu hivi kweli mtu upo sawa utakesha jf usiku wote seriously una mke wako au mbebez wako anakupa kampani utakumbuka kukesha kule yaan kule ni masingle na deep mawazu mnisamehe tu jamani nawapenda nitakuja siku kuwatembelea nikiwa kiwanja nakeshaHivi Shunie kwa nn unasemaga uzi wangu
Ulikukosea nn?
Hebu leo niambie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Santee sana.
Karibu sana nyumbani Manga . Angel anakula sana budget yake siiwezi
Huku ni kupatwa kwa shunieLimekolea carba shunie mm nimepatikana
But why.????? Nina shida gani mie lakini? Wakunyumba mi napenda kuliko neno mapenzi ila mpaka nipende jamani si jambo dogo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakunyumba una nini lakini hutaki shemeji yako anavyonipa raha jamaniHaroooooo