Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
kuna mambo mengine tusiwe tunayavumilia... watu tuambiane ukweli tu ili watu wenye hayo matatizo wabadilike. hamna haja ya kuoneana aibu wala noma. mimi naanza kwa kuwaweka wazi watu kadhaa kuwa mambo yao kadhaa siyo sawa wajirekebishe na wakome hizo tabia. na wewe kama unao waweke tu wazi.
Demiss nimekusoma sehemu wewe unapenda sana kutaja papuchi kila sehemu sisi wengine unatutia hamu sana ujue.... hayo hiyo ni sehemu ya siri sasa unapoitaja taja sana unatupa hamu ya kutaka kuiona na sisi wengine tumeoa sasa.
Joseverest umekuwa mzee ile kasi yako uliyokuwa nayo sasa umekata pumzi jamaa ulikuwa fast sana kwenye ku comment kwa sasa umekuwa zoba /bwege sana ile speed yako imeenda wapi?jirekebishe.
GuDume wewe stories zako zinaleta sana mambo ya kutiana nyege na unaonekana huna maadili kabisa na umri wako umeeenda sana unategemea utaendelea kuwagonga tu dada zetu hivi hivi mpaka lini? acha ufala bro badilika sasa.tafuta mke oa
GENTAMYCINE mshkaji huwa sometimes upo yes sometimes no.. unaweza ulizwa swali zuri tu ila ukajibu matusi ki ccm ccm... kama akina kibajaji. acha hizo sisi sote ni dugu humu ndani
Demiss nimekusoma sehemu wewe unapenda sana kutaja papuchi kila sehemu sisi wengine unatutia hamu sana ujue.... hayo hiyo ni sehemu ya siri sasa unapoitaja taja sana unatupa hamu ya kutaka kuiona na sisi wengine tumeoa sasa.
Joseverest umekuwa mzee ile kasi yako uliyokuwa nayo sasa umekata pumzi jamaa ulikuwa fast sana kwenye ku comment kwa sasa umekuwa zoba /bwege sana ile speed yako imeenda wapi?jirekebishe.
GuDume wewe stories zako zinaleta sana mambo ya kutiana nyege na unaonekana huna maadili kabisa na umri wako umeeenda sana unategemea utaendelea kuwagonga tu dada zetu hivi hivi mpaka lini? acha ufala bro badilika sasa.tafuta mke oa
GENTAMYCINE mshkaji huwa sometimes upo yes sometimes no.. unaweza ulizwa swali zuri tu ila ukajibu matusi ki ccm ccm... kama akina kibajaji. acha hizo sisi sote ni dugu humu ndani