Uzi wa kupeana madili popote ndani na nje ya Tanzania

Uzi wa kupeana madili popote ndani na nje ya Tanzania

kyaibumba

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2017
Posts
715
Reaction score
994
Kuna watu wanaweza wakawa wanaona fursa wanazidharau Kumbe hizo ni dili Kwa wengine

Mi kuanzia mwezi wa saba ntaanza kupata soko la maharage!

Maparachichi, Karanga

na mafenesi huku, naona wanapata kutoka pakistani sana!

Pia hapo ulipo unaweza ukawa unaona kuna fursa ya kufundisha!

Kufanya sales

Kufua Au kuhudumu hotel

Weka hapa watu wajimwage


Fursa mi naweza nkatafta connection za soko la bidhaa kutoka africa

Lakin za huku mko mbali nazipiga mwenyewe

Mfano hii ya summit ya Brussels kufunga mabango 20 nimekumja nanwenzangu wawili 2500$

Hapo kila mtu atapata 800$ fresh

1CF3FF1B-47EC-437F-9421-2490816BE192.jpeg
8860ACCB-3004-438D-8D65-3CEB2C17362D.jpeg
D351D8DB-F097-48D1-8B95-A0E9CB228A52.jpeg


Nilipat deal nika depart kuja Kwa week moja tokea tarehe 14 nta rudi Latvia tarehe 21



7429B005-A3E0-4019-9258-F59F91CA265A.jpeg



Tusibaniane
 
Uzi huu wenye Fursa wanaweza wasijitokeze

Lakin nauliza swali Kwanini mkishaenda nje mnatudharau Yaan hata fursa kidogo hatupewi!

Nataka visa bwana ya Uingereza nikajilipue huko,

Nipe maagent nijilipue


Bongo michosho

Kila mwaka nadhani ntatajirika mwaka ujao nao unapita Hivi Hivi yan
 
Uzi huu wenye Fursa wanaweza wasijitokeze

Lakin nauliza swali Kwanini mkishaenda nje mnatudharau Yaan hata fursa kidogo hatupewi!

Nataka visa bwana ya Uingereza nikajilipue huko,

Nipe maagent nijilipue


Bongo michosho

Kila mwaka nadhani ntatajirika mwaka ujao nao unapita Hivi Hivi yan
Mkuu hizo mambo za visa ziache kwanza
Hizo watu wahangaike wenyewe ! Nina maana yangu mkuu hapa tuangalie fursa nyinginezo
 
Kuna watu wanaweza wakawa wanaona fursa wanazidharau Kumbe hizo ni dili Kwa wengine !!!

Mi kuanzia mwezi wa saba ntaanza kupata soko la maharage!
Maparachichi , Karanga
na mafenesi huku , naona wanapata kutoka pakistani sana!

Pia hapo ulipo unaweza ukawa unaona kuna fursa ya kufundisha!

Kufanya sales

Kufua Au kuhudumu hotel ,

Weka hapa watu wajimwage
Tunatia kambi
 
Mkuu hizo mambo za visa ziache kwanza
Hizo watu wahangaike wenyewe ! Nina maana yangu mkuu hapa tuangalie fursa nyinginezo
Uzi hauna hata comments kumi umeshaonesha roho mbaya lol hahaa
 
Uzi hauna hata comments kumi umeshaonesha roho mbaya lol hahaa
Siyo roho mbaya nawaambieni ukweli Shortcuts zina madhara yake! Mambo ya Visa wengi wamelizwa na bado wanaendelea kulia, mtu anajikusanya miaka Nenda rudi ajilipue anakutana na njemba inasema najua masuala ya visa anaweka ka akiba kote 2000$ sawa na 4.5M
Alafu Jamaa ampi visa wala nini, anaanza kunzugusha!!

Yaan kuweni na guts za kuhustle bila kushikwa mkono! Yaan nikikuelezea mimi nimeshawai kulala nje Mombassa mwaka 2011 naona Kama naweza pitia huko kwenda

Pesa yangu niliiona Kama urithi pekee nilio nao!!

Mwaka 2015 nimewai kumaliza siku 3 bila kula naenda hotel in naangalia wanobakiza chakula natamani niwaombe tule wote

Nakumbuka nimeshawekwa ndani Kwa Ku overstay nchi za watu kadhaa

Nshakuwa denied entry nchi kadhaa kisa sina vigrzo naharibu nauli tu

Nishakwepa wenye Nyumba kwenye nchi z watu naacha begi empty kisa maisha magumu hakuna pesa na kazi sijapata

Nakumbuka mwaka 2016 niliwai kusomba kratasi kwenye kiwanda cha vitabu hadi mikono ikachubuka kisa natafta kazi nataka kuproce am hard worker Alafu nikaishia kuambiwa njoo kesho umuone muajiri nafika naambiwa sijapita

Namhurumia sana Mtanzania anayetunza pesa yake halali,

Hivo tukiendekeza mambo ya kutaftiana visa watajitokeza wa kuwafuata PM kuwapa visa mwishowe kilio



Kyaibumba
 
Siyo roho mbaya nawaambieni ukweli Shortcuts zina madhara yake! Mambo ya Visa wengi wamelizwa na bado wanaendelea kulia, mtu anajikusanya miaka Nenda rudi ajilipue anakutana na njemba inasema najua masuala ya visa anaweka ka akiba kote 2000$ sawa na 4.5M
Alafu Jamaa ampi visa wala nini, anaanza kunzugusha!!

Yaan kuweni na guts za kuhustle bila kushikwa mkono! Yaan nikikuelezea mimi nimeshawai kulala nje Mombassa mwaka 2011 naona Kama naweza pitia huko kwenda

Pesa yangu niliiona Kama urithi pekee nilio nao!!

Mwaka 2015 nimewai kumaliza siku 3 bila kula naenda hotel in naangalia wanobakiza chakula natamani niwaombe tule wote

Nakumbuka nimeshawekwa ndani Kwa Ku overstay nchi za watu kadhaa

Nshakuwa denied entry nchi kadhaa kisa sina vigrzo naharibu nauli tu

Nishakwepa wenye Nyumba kwenye nchi z watu naacha begi empty kisa maisha magumu hakuna pesa na kazi sijapata

Nakumbuka mwaka 2016 niliwai kusomba kratasi kwenye kiwanda cha vitabu hadi mikono ikachubuka kisa natafta kazi nataka kuproce am hard worker Alafu nikaishia kuambiwa njoo kesho umuone muajiri nafika naambiwa sijapita

Namhurumia sana Mtanzania anayetunza pesa yake halali,

Hivo tukiendekeza mambo ya kutaftiana visa watajitokeza wa kuwafuata PM kuwapa visa mwishowe kilio



Kyaibumba
Kwa mbali nimekuelewa ila si sana we leta maagent turuke nao hahaha
 
We mwenyewe ni fursa Kwa wenzako.

Tahadhari: Wakati unatafakari unasubiri ije fursa uende nayo,Kuna washikaji wao wako nyuma yako wanakuvizia wakuingize Cha kike.
 
Bongo kumejaa CHUKI, DHULMA, JANJA JANJA, UNAFIKI na ROHO MBAYA.

Bila kusahau KUISHI kwa KUJISHUKU, WASIWASI na KUTUMIKA.

Ndio maana Ni ngumu sana KUKUTA DILI SERIOUS Mtandaoni.

Kila anaebahatika anapiga kimya kimya.

Tanzania wanapiga wakiwa CYCLE ya watu wachache sana.

Wengi huishia KUTUMIKIA tu kwa WANAMUZIKI, WANASIASA na WANAHARAKATI.

Jobless and Chuki na mwenye Ajira, mwenye Ajira sekta binafsi anamchukia wa serikalini. Mwenye Ajira kwenye shirika la umma anamchukia na kumdharau anaefanya kazi serikali za Mitaa.

Asiye na kazi mtaani anamchukia mtumishi na Mfanyabiashara.

Mfuasi wa chama Cha siasa anamchukia mfuasi wa chama tawala.

Mteule wa Rais anachukiwa na watu wa mtaani.

Mbunge alieshindwa uchaguzi anamchukia Mbunge mteule wa Rais au aliyeshinda.

In short, sasa hivi kila mtu anajiangalia yeye tu.
 
Bongo kumejaa CHUKI, DHULMA, JANJA JANJA, UNAFIKI na ROHO MBAYA.

Bila kusahau KUISHI kwa KUJISHUKU, WASIWASI na KUTUMIKA.

Ndio maana Ni ngumu sana KUKUTA DILI SERIOUS Mtandaoni.

Kila anaebahatika anapiga kimya kimya.

Tanzania wanapiga wakiwa CYCLE ya watu wachache sana.

Wengi huishia KUTUMIKIA tu kwa WANAMUZIKI, WANASIASA na WANAHARAKATI.

Jobless and Chuki na mwenye Ajira, mwenye Ajira sekta binafsi anamchukia wa serikalini. Mwenye Ajira kwenye shirika la umma anamchukia na kumdharau anaefanya kazi serikali za Mitaa.

Asiye na kazi mtaani anamchukia mtumishi na Mfanyabiashara.

Mfuasi wa chama Cha siasa anamchukia mfuasi wa chama tawala.

Mteule wa Rais anachukiwa na watu wa mtaani.

Mbunge alieshindwa uchaguzi anamchukia Mbunge mteule wa Rais au aliyeshinda.

In short, sasa hivi kila mtu anajiangalia yeye tu.
Umemaliza yote
 
Umemaliza yote
Mkuu , ukitaka kujua uhalisia wa hili , wewe fuatilia SIRI nyingi muhimu hutazikuta ONLINE.

Wengi walioko online wanapuyanga tu huku wakiishi kwa "Guess work".

Kuna lundo la watu wanafanya Kazi TANESCO, TBA, TBS, TMDA, TAKUKURU, NGORONGORO, KADCO, TISS, JWTZ lakini Kuna taarifa ukizitafuta, nyingine hata siyo Siri kiviile Kama vile mishahara na nafasi za kazi huwezi kuzipata.

Lakini hayo mashirika Yana Watumishi wengi mnooona wapo online.

Mimi Kuna kipindi, nilienda kwenye shirika fulani nikakuta wanalipana vizuri sana na walikuwa wanaajiri hata watu wasio na elimu kabisa.

Lakini Mambo Kama hayo huwezi kuyakuta online.
 
Back
Top Bottom