Uzi wa kupeana madili popote ndani na nje ya Tanzania

Uzi wa kupeana madili popote ndani na nje ya Tanzania

Mkuu , ukitaka kujua uhalisia wa hili , wewe fuatilia SIRI nyingi muhimu hutazikuta ONLINE.

Wengi walioko online wanapuyanga tu huku wakiishi kwa "Guess work".

Kuna lundo la watu wanafanya Kazi TANESCO, TBA, TBS, TMDA, TAKUKURU, NGORONGORO, KADCO, TISS, JWTZ lakini Kuna taarifa ukizitafuta, nyingine hata siyo Siri kiviile Kama vile mishahara na nafasi za kazi huwezi kuzipata.

Lakini hayo mashirika Yana Watumishi wengi mnooona wapo online.

Mimi Kuna kipindi, nilienda kwenye shirika fulani nikakuta wanalipana vizuri sana na walikuwa wanaajiri hata watu wasio na elimu kabisa.

Lakini Mambo Kama hayo huwezi kuyakuta online.
Umeongea kwanuchungu sana
 
Fursa ya nafasi ya walimu wa 4 wakike kufundisha geography na history nchini india,jimbo la Tamil Nadu. Meal and accommodation utapatia, pamoja na visa. Kujiendeleza kimasomo inaruhusiwa. Ukiwa tayari njoo na CV pm.
 
Fursa ya nafasi ya walimu wa 4 wakike kufundisha geography na history nchini india,jimbo la Tamil Nadu. Meal and accommodation utapatia, pamoja na visa. Kujiendeleza kimasomo inaruhusiwa. Ukiwa tayari njoo na CV pm.
Vema sana ila ziwe genuine
 
Jamani sio fursa za ajira tu hata fursa za ku export tusinyimane kwanzia mafuta ya alizeti ,madini ,vinjago,mazao ila cha muhimu nikuendana na compliance zao na pia kuwa makini na terms of payment
 
Fursa ya nafasi ya walimu wa 4 wakike kufundisha geography na history nchini india,jimbo la Tamil Nadu. Meal and accommodation utapatia, pamoja na visa. Kujiendeleza kimasomo inaruhusiwa. Ukiwa tayari njoo na CV pm.
Weka thread kabisa mzee
 
Uzi huu wenye Fursa wanaweza wasijitokeze

Lakin nauliza swali Kwanini mkishaenda nje mnatudharau Yaan hata fursa kidogo hatupewi!

Nataka visa bwana ya Uingereza nikajilipue huko,

Nipe maagent nijilipue


Bongo michosho

Kila mwaka nadhani ntatajirika mwaka ujao nao unapita Hivi Hivi
HAHAHAHAAA
 
Nipo impressed na Latvia nipe Mkuu pros and cons za uko
 
Back
Top Bottom