Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Jamani tukaribishane kupitia huu uzi. maana pasaka inakaribia.
Uchoyo sio mzuri mie nikikaribishwa sili sana. nakula masinia mawili ya ubweche plus udambwiudambwi mwingine (msiogope hicho ni kidogo)
pia wakubwa na yale mambo yao (usiwaze vibaya) wanaruhusiwa..
Mie nakaa maghetoni. Mama mwenye nyumba saivi hatuelewani so kula pilau kwake haiwezekani!
Pancho boy
Uchoyo sio mzuri mie nikikaribishwa sili sana. nakula masinia mawili ya ubweche plus udambwiudambwi mwingine (msiogope hicho ni kidogo)
pia wakubwa na yale mambo yao (usiwaze vibaya) wanaruhusiwa..
Mie nakaa maghetoni. Mama mwenye nyumba saivi hatuelewani so kula pilau kwake haiwezekani!
Pancho boy