Mrangi natamani kujia mengi, cama hutojali njoo inbox, unijuze mengiNmeingia rasmi kwenye hii biashara ya dhahabu,jiwe nmeliweka pembeni nna miezi 4 sahv huku,sema mleta uzi utanisamehe chimbo langu.
Kwa sasa sitoliweka wazi maana,sitaki kuwaamsha waliyolala
Ila dhahabu nayoigumia huku purity yake inagonga 98%
Ova
kizuri kula na wenzio na mungu atakubaiki...leo kwangu kesho kwako, utajisikiaje?Nmeingia rasmi kwenye hii biashara ya dhahabu,jiwe nmeliweka pembeni nna miezi 4 sahv huku,sema mleta uzi utanisamehe chimbo langu.
Kwa sasa sitoliweka wazi maana,sitaki kuwaamsha waliyolala
Ila dhahabu nayoigumia huku purity yake inagonga 98%
Ova
mitaji ndo tatizo kubwaKILA sehemu kuna dhahabu ni wewe tu kuvumbua
mgodi gan na upo wilaya gani?Nayu Dodoma nasikia mgodi umetema huko.
Nmeingia rasmi kwenye hii biashara ya dhahabu,jiwe nmeliweka pembeni nna miezi 4 sahv huku,sema mleta uzi utanisamehe chimbo langu.
Kwa sasa sitoliweka wazi maana,sitaki kuwaamsha waliyolala
Ila dhahabu nayoigumia huku purity yake inagonga 98%
Ova
kila kitu kinachangamoto kikubwa kuwa na elimu ama ujuzi wa kile unachotafuta.Mtoa mada umefanya vzr sana,uwekezaji kwenye biashara ya dhahabu unatija sana lkn,changamoto ni kwamba wachimbaji wengi siyo waaminifu,kuna mambo ya kulogana,kuzungukana (kwa mfano kuna jamaa yangu aliwahi kubadilishiwa carbon akiwa plant na mwana-share mwenzake)
Vilevile changamoto nyingine ni mitaji ila,tuendelee kupambana bila kukata tamaa.Kwa tahadhari kama una mtaji usikimbilie kwenye machimbo mapya...kwa mtu mwenye mtaji mdogo hata mtaji mkubwa nenda kwenye sehemu ambayo watu wengi wanaikimbia huko dhahabu za vikole hazipatikani lkn,kwenye senga unatoboa vzr sana jambo la msingi ni kuhakikisha unalipima senga lako kwenye kila hatua!
Machimbo yako mengi na yana dhahabu yenye ubora mzuri tu.... Tuendelee kupiga pesa taratibu.Habari za wakati waponchaji na madigala na watu wengine, tumain langu mnaendelea vyema na kijiti cha utafutaji na bwana anaendelea kubariki kazi ya mikono yenu.
kama uzi unavyosema ni mahususi kutaja maeneo ambayo wachimbaji wadogo dhahabu inapatikana kwa wingi kwamba yeyote atakaye thubutu kwenda uhakika wa kupata riziki uwepo.
Wengi hatuwezi kua na mawaasiliano ya moja kwa moja na watu walio porini kwa maana porini wakati mwingine mitandao hua haikamati vizuri. Hivyo kupitia uzi huu uwe msaada kwa wahitaji, wataffutaji wa dhahabu maana najua maisha ya kutafuta dhahabu ni kama ndege wakisikia sehemu imehila mda huohuo watu wanasafiri.
Naanza mimi mkoa wa shinyanga wilaya ya msalala kata ya nyamishiga machimbo ni nyamishiga yamelipuka miez kama 6 iliyopita lakin uzalishaji bado ni mkubwa sana na watu bado wanahila nimeshuhudia kwa macho watu walisaga mfuko mmoja wa mawe wakakamua 72gm.
Hivyo nawakaribisheni kutujuza mliyonayo.
Unajidanganya mkuu, kwenye tasnia ya dhahabu hata mtu anaeumwa presha, kisukari na mengine anaweza kufanya as long as anaweza tu kutembea, kuongea na kulala mazingira fulani ya guest za mabati (kama huma uwezo wa kulala pazuri).Huwa natamani kufanya ngumu za nguvu kama hizi ila siiamini sana afya yangu na wala sina nguvu kivile. Naweza beba vifusi siku nzima, nikalala siku mbili kwa uchovu
Yuko sahihi mambo sio mepesi kiasi hiko mzee utajiri ni siri.Huo ndio ubinafsi sasa, utadhani utalijaza soko la dhahabu
Mwamba nipe connection japo pmNmeingia rasmi kwenye hii biashara ya dhahabu,jiwe nmeliweka pembeni nna miezi 4 sahv huku,sema mleta uzi utanisamehe chimbo langu.
Kwa sasa sitoliweka wazi maana,sitaki kuwaamsha waliyolala
Ila dhahabu nayoigumia huku purity yake inagonga 98%
Ova
Mine the miners..Mtoa mada umefanya vzr sana,uwekezaji kwenye biashara ya dhahabu unatija sana lkn,changamoto ni kwamba wachimbaji wengi siyo waaminifu,kuna mambo ya kulogana,kuzungukana (kwa mfano kuna jamaa yangu aliwahi kubadilishiwa carbon akiwa plant na mwana-share mwenzake)
Vilevile changamoto nyingine ni mitaji ila,tuendelee kupambana bila kukata tamaa.Kwa tahadhari kama una mtaji usikimbilie kwenye machimbo mapya...kwa mtu mwenye mtaji mdogo hata mtaji mkubwa nenda kwenye sehemu ambayo watu wengi wanaikimbia huko dhahabu za vikole hazipatikani lkn,kwenye senga unatoboa vzr sana jambo la msingi ni kuhakikisha unalipima senga lako kwenye kila hatua!
Lindi, Ruangwa, Nanganga, Mbecha etcNmeingia rasmi kwenye hii biashara ya dhahabu,jiwe nmeliweka pembeni nna miezi 4 sahv huku,sema mleta uzi utanisamehe chimbo langu.
Kwa sasa sitoliweka wazi maana,sitaki kuwaamsha waliyolala
Ila dhahabu nayoigumia huku purity yake inagonga 98%
Ova
Nenda AlibabaNatafta gold detector
Labda kwetu sababu ya asili ya ubinafsi na roho kwann apate.Soko la kitu chochote duniani halijawahi kujaa.Yuko sahihi mambo sio mepesi kiasi hiko mzee utajiri ni siri.
Kwenye utafutaji kuwa kauzu huruma haitakiwi
watafute haoNatafta gold detector
Hao pia ushindwe wewe tu, ila kua makin tu mambo ya kutuma hela kabla hujaona mzigo utalizwa....wasiliana nao uende physicallyNatafta gold detector