Uzi wa kupeana ramani za machimbo ya dhahabu yaliyolipuka/yanayolipuka na fursa zinazopatikana porini/chimboni

Uzi wa kupeana ramani za machimbo ya dhahabu yaliyolipuka/yanayolipuka na fursa zinazopatikana porini/chimboni

Nmeingia rasmi kwenye hii biashara ya dhahabu,jiwe nmeliweka pembeni nna miezi 4 sahv huku,sema mleta uzi utanisamehe chimbo langu.

Kwa sasa sitoliweka wazi maana,sitaki kuwaamsha waliyolala

Ila dhahabu nayoigumia huku purity yake inagonga 98%


Ova
Mrangi natamani kujia mengi, cama hutojali njoo inbox, unijuze mengi
 
Nmeingia rasmi kwenye hii biashara ya dhahabu,jiwe nmeliweka pembeni nna miezi 4 sahv huku,sema mleta uzi utanisamehe chimbo langu.

Kwa sasa sitoliweka wazi maana,sitaki kuwaamsha waliyolala

Ila dhahabu nayoigumia huku purity yake inagonga 98%


Ova
kizuri kula na wenzio na mungu atakubaiki...leo kwangu kesho kwako, utajisikiaje?
 
Nmeingia rasmi kwenye hii biashara ya dhahabu,jiwe nmeliweka pembeni nna miezi 4 sahv huku,sema mleta uzi utanisamehe chimbo langu.

Kwa sasa sitoliweka wazi maana,sitaki kuwaamsha waliyolala

Ila dhahabu nayoigumia huku purity yake inagonga 98%


Ova

Kwenye jiwe ulikua umepotea, kwenye dhahabu haulali njaa, jiwe waachie akina marley dollars, na mbunge wa ulanga hisham, japo mpigo wa jiwe moja ni dhahabu kilo kadhaa, hapo saka mchongo wa kuuza dubai mwenyewe na uwe makini na wanigeria na warabu wapigaji ukiweza kufika Canada na Australia ndio ukauze huko tafuta michongo tu, dhahabu ndio pesa ya dunia hongera mzee kubadili uelekeo
 
Mtoa mada umefanya vzr sana,uwekezaji kwenye biashara ya dhahabu unatija sana lkn,changamoto ni kwamba wachimbaji wengi siyo waaminifu,kuna mambo ya kulogana,kuzungukana (kwa mfano kuna jamaa yangu aliwahi kubadilishiwa carbon akiwa plant na mwana-share mwenzake)

Vilevile changamoto nyingine ni mitaji ila,tuendelee kupambana bila kukata tamaa.Kwa tahadhari kama una mtaji usikimbilie kwenye machimbo mapya...kwa mtu mwenye mtaji mdogo hata mtaji mkubwa nenda kwenye sehemu ambayo watu wengi wanaikimbia huko dhahabu za vikole hazipatikani lkn,kwenye senga unatoboa vzr sana jambo la msingi ni kuhakikisha unalipima senga lako kwenye kila hatua!
 
Mtoa mada umefanya vzr sana,uwekezaji kwenye biashara ya dhahabu unatija sana lkn,changamoto ni kwamba wachimbaji wengi siyo waaminifu,kuna mambo ya kulogana,kuzungukana (kwa mfano kuna jamaa yangu aliwahi kubadilishiwa carbon akiwa plant na mwana-share mwenzake)

Vilevile changamoto nyingine ni mitaji ila,tuendelee kupambana bila kukata tamaa.Kwa tahadhari kama una mtaji usikimbilie kwenye machimbo mapya...kwa mtu mwenye mtaji mdogo hata mtaji mkubwa nenda kwenye sehemu ambayo watu wengi wanaikimbia huko dhahabu za vikole hazipatikani lkn,kwenye senga unatoboa vzr sana jambo la msingi ni kuhakikisha unalipima senga lako kwenye kila hatua!
kila kitu kinachangamoto kikubwa kuwa na elimu ama ujuzi wa kile unachotafuta.
 
Habari za wakati waponchaji na madigala na watu wengine, tumain langu mnaendelea vyema na kijiti cha utafutaji na bwana anaendelea kubariki kazi ya mikono yenu.

kama uzi unavyosema ni mahususi kutaja maeneo ambayo wachimbaji wadogo dhahabu inapatikana kwa wingi kwamba yeyote atakaye thubutu kwenda uhakika wa kupata riziki uwepo.

Wengi hatuwezi kua na mawaasiliano ya moja kwa moja na watu walio porini kwa maana porini wakati mwingine mitandao hua haikamati vizuri. Hivyo kupitia uzi huu uwe msaada kwa wahitaji, wataffutaji wa dhahabu maana najua maisha ya kutafuta dhahabu ni kama ndege wakisikia sehemu imehila mda huohuo watu wanasafiri.

Naanza mimi mkoa wa shinyanga wilaya ya msalala kata ya nyamishiga machimbo ni nyamishiga yamelipuka miez kama 6 iliyopita lakin uzalishaji bado ni mkubwa sana na watu bado wanahila nimeshuhudia kwa macho watu walisaga mfuko mmoja wa mawe wakakamua 72gm.

Hivyo nawakaribisheni kutujuza mliyonayo.
Machimbo yako mengi na yana dhahabu yenye ubora mzuri tu.... Tuendelee kupiga pesa taratibu.
IMG-20220814-WA0001.jpg
 
Huwa natamani kufanya ngumu za nguvu kama hizi ila siiamini sana afya yangu na wala sina nguvu kivile. Naweza beba vifusi siku nzima, nikalala siku mbili kwa uchovu
Unajidanganya mkuu, kwenye tasnia ya dhahabu hata mtu anaeumwa presha, kisukari na mengine anaweza kufanya as long as anaweza tu kutembea, kuongea na kulala mazingira fulani ya guest za mabati (kama huma uwezo wa kulala pazuri).

Kule **** mgawanyo wa majukumu na sio kubeba vifusi kama unavyodhani.

[emoji1428]Wachimbaji na Wachorongaji (hawa ndo wanahitaji nguvu sasa), kwakua wanazama kwenye mashimo kutindua na kulipua mikanda ya dhahabu.

[emoji1428]Wamiliki wa crusher na mialo hawa hawahitaji kuwa na nguvu yoyote ile, kazi yao ni kusagisha mawe yanayosadikika kuwa na dhahabu ili kupata unga ambao utaoshwa ili kuichambua dhabu hapo mwaloni.

[emoji1428]Makota hawa nao hawahitaji nguvu yoyote ile maana kazi yao ni kununu dhahabu kutoka kwa wachimbaji kisha wanaenda kuiuza jikoni.

[emoji1428]Deallers Uwe na pesa ya maaana tu (nimesema Pesa kweli).

[emoji1428]Kimiliki Plant.
 
Nmeingia rasmi kwenye hii biashara ya dhahabu,jiwe nmeliweka pembeni nna miezi 4 sahv huku,sema mleta uzi utanisamehe chimbo langu.

Kwa sasa sitoliweka wazi maana,sitaki kuwaamsha waliyolala

Ila dhahabu nayoigumia huku purity yake inagonga 98%


Ova
Mwamba nipe connection japo pm
 
Mtoa mada umefanya vzr sana,uwekezaji kwenye biashara ya dhahabu unatija sana lkn,changamoto ni kwamba wachimbaji wengi siyo waaminifu,kuna mambo ya kulogana,kuzungukana (kwa mfano kuna jamaa yangu aliwahi kubadilishiwa carbon akiwa plant na mwana-share mwenzake)

Vilevile changamoto nyingine ni mitaji ila,tuendelee kupambana bila kukata tamaa.Kwa tahadhari kama una mtaji usikimbilie kwenye machimbo mapya...kwa mtu mwenye mtaji mdogo hata mtaji mkubwa nenda kwenye sehemu ambayo watu wengi wanaikimbia huko dhahabu za vikole hazipatikani lkn,kwenye senga unatoboa vzr sana jambo la msingi ni kuhakikisha unalipima senga lako kwenye kila hatua!
Mine the miners..

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom