Uzi wa kupeana ramani za machimbo ya dhahabu yaliyolipuka/yanayolipuka na fursa zinazopatikana porini/chimboni

Hili neno " Kuhira" na watu kukimbilia huko linaonyesha Watanzania bado tunatumia nguvu nyingi za kubahatisha kuvuna rasilimali zetu zilizo ardhini ndio maana wachina wanavuna mawe ya kutosha sasa hivi maporini

Duniani vipo vifaa vingi vya ku detect dhahabu na madini mengine ila sisi bado ni kubahatisha kwa " Kupiga chabo" na kutegemea ramli za waganga wa kienyeji

Matajiri wengi wamefilisika kwa kudanganjwa na wachimbaji kuwa wameukaribia mkanda, na kuwaonyesha kanyaboya ya chabo ya mchanga wanayoichanganya na madini kidogo
 
.
 
mwana-share mmoja kala deal na mkemia...

wakavuna kidgo ,mwana-share karudia kapi katoa mzigo wa kutosha

baadhi yawana-share ni wasengerema
 
kama upo mpakani mwa shy na Geita hii naisanua
ISONDA&LYULU dhahabu yake ni 94-99%

hayana muda mrefu sana haya machimbo
Yana muda gani kwani, Maana huku Geita kuna chimbo jipya linaitwa Nyamatagata nako tunapiga sesa man
 
Yana muda gani kwani, Maana huku Geita kuna chimbo jipya linaitwa Nyamatagata nako tunapiga sesa man
Naomba taarifa kamili
Mwanzoni dhahabu ya kule ilikuwa ya shikole, hivyo kwa sasa hadi kuna karasha mnasaga fero?

au bado mnapiga hio sesa ya shikole?

na kama mnasaga wastani kwa mfuko mmoja mnatoa gm ngap?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…