Uzi wa kupeana ramani za machimbo ya dhahabu yaliyolipuka/yanayolipuka na fursa zinazopatikana porini/chimboni

Naomba taarifa kamili
Mwanzoni dhahabu ya kule ilikuwa ya shikole, hivyo kwa sasa hadi kuna karasha mnasaga fero?

au bado mnapiga hio sesa ya shikole?

na kama mnasaga wastani kwa mfuko mmoja mnatoa gm ngap?
Ni sesa za vikole man,Ila kuna muda palisimama kimtindo kutokana kuna ajali ilitokea watu wakafa ila sahivi ni kawaida wanachimba
 
Nimefanya sana ila haikuwa na faida, uwekezaji mkubwa ila mmmmh
 
Mi najua soko lake ambao utauza bei nzuri sana mpaka useme basi tena nikikuungisha hutonisahau maishani
 
Nitajieni chimbo lenye amsha za kutosha niwaletee pombe huko na spirit
 
Uzi mzuri sana huu hongera, ila mtoa mada Msalala sio Wilaya ni Halmashauri na jimbo la uchaguzi tu.
Wilaya ni Kahama.
 
 
Nawaiteni wawekezaji wazawa , karibuni tujadili. July 2023
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…