Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

1. Yupo mmoja maeneo ya runzewe bibi fulani kufika kanambia lete pesa pumulia kwenye pesa akanambia matatizo yangu
2. Wapili sasa ni kiboko mnaingia kwenye kijumba anaziba kabisa anaita watu mnakuwa gizan anaita watu wanaongea yeye anawaita wazee ( majini) ni noma na nusu sema yeye hapatikan kwa urahisi ila yupo karibu na boda ya uganda

3. Wa mwisho nae yupo hukohuko ni kijana anaitwa baba love nae ana balaa akichanganya madawa hadi moto unawaka
 
😂😂😂
 
UNA NYOTA YA WAGANGAA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…