Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

1. Yupo mmoja maeneo ya runzewe bibi fulani kufika kanambia lete pesa pumulia kwenye pesa akanambia matatizo yangu
2. Wapili sasa ni kiboko mnaingia kwenye kijumba anaziba kabisa anaita watu mnakuwa gizan anaita watu wanaongea yeye anawaita wazee ( majini) ni noma na nusu sema yeye hapatikan kwa urahisi ila yupo karibu na boda ya uganda

3. Wa mwisho nae yupo hukohuko ni kijana anaitwa baba love nae ana balaa akichanganya madawa hadi moto unawaka
Wa pili huyo ukute kuna wahuni amewaweka (amewaficha) mahali ndo hao wanaoongea.

Na huyo wa tatu haiwezi kua ni unga wa baruti huo ndio unaowaka moto?

Nimewaza tu.
 
Logically hao wote watakua waongo. Sababu kama umekutana na "A" na akawa mzuri basi usingekua na haja ya kwenda Kwa B, C, D au E.

Au kama A alikua muongo ukaja kukutana na B mkweli basi ungeishia hapo hapo kwe B ukawa unamtumia tu huyo huyo
Chifu hii taalamu na kuna ujuzi tofauti tofaiti. Hata fundi magari wana maeneo yao ya ujuzi. Mfano mifumo ya umeme, injini, rangi n.k. Haya daktari wa binadamu kuna wajuzi wa magonjwa ya kinamama, watoto, moyo, mifupa nk
 
Huu Uzi Maalumu wa Kupeana Connection Za Waganga wa Kienyeji na Shuhuda Mbalimbali.

Kikubwa Toa Shuhuda Elezea Location Alipo Mawasiliano sio Muhimu kwa Kuwa watembeaji ni Watu wa Kujiongeza.

Nitaanza mimi.

1. Mganga wa Kwanza Nilikutana Naye kigoma Huko wilaya Ya Kakonko , Alikuwa Mama wa Makamo Mwenye Mguu Mbovu , Yule Mama Alikuwa Kiboko Aisee Akikufanyia Jambo Lazima lishike.

Kwanza Ukifika Kwake Kazi Anafanya Asubuhi tu Saa 12 mpka sa4 mwisho , Ukiingia Tu Unakutana na Kitambaa Ukutani kama Kuna Wabaya waliowahi kukufanyia kitu kibaya wote utawaona pale na vitu vyote walivyokufanyia , Mkishaangalia pamoja ndio Anaanza Matibabu.

Huyu ndiye aliyenifanya niamini baadhi ya Mambo tunayo yaonaga kwenye muvie za Kinigeria kuwa Yapo . Alikuwa kiboko sanaa kwa maradhi ya kimwili na wale wanaotaka hela za masharti . Kwa bahati mbaya mwaka jana niliambiwa amekufa kamwachia mtoto wake sijajua kama huyo mtoto atakuwa balaa kama Mama yake.

2. Nikajongea maeneo ya Biharamulo huko Nilikutana na Fundi ambaye anapiga Ramli Usiku yani huyu ni kiboko ya Wasiri , Nikienda pale akianza ramli anauwezo wakumuita mtu yoyote popote Alipo atakuja na Atatoa siri zote yaani ataongea kila kitu . Huyu nilikutana na baadhi ya viongozi wanaofichuaga siri za watu ila huyu mganga naye nilimwamini kwa kiasi fulani ingawa sikupata tiba kwake mana nilienda kuwasikiliza na kuwaita baadhi Ya watu.

3. Kuna mmoja Nilienda kwake Aisee huyu yeye nilimuona hamna kitu alikuwa maeneo ya Ukerewe kwanza picha inaanza kila alichoniambia alinambia vitu ambavyo sijawahi fanya wala kunikuta ila akawa anakomaa kuwa hayo ndo matatizo yangu yule mzee nilimkubalia ila nilivotoka sikurudi kabisa.

4. Kuna Mganga Nilikutana Naye maeneo ya Bagamoyo ni shehe yeye anatumia visomo binafsi sio muumini sanaa wa kusomewa kwani naona ni sawa tu na kuombewa unaweza fanikisha au usifanikishe , Yule mzeee Alinipeleka baharini Tukavunja nazi na Kusoma Dua zao zile ila yule kilichonipeleka sikukufanikisha Japo wenyeji walikuwa wakimsifia sanaa.

Nishakutana na waganga wengi mpka wa Dar es Salaam wakweli na Waongo ila Asikudanganye mtu Ukiamua kuamini waganga wapo watakaokusaidia na wapo watakaokupoteza kikubwa ni Kuwatambua tu , Uzuri ukishakuwa mtembeaji sanaa Huwezi Danganywa kinjinga.

Mi ngoja niishie hapa wengine endeleeni mtoe mliyokutana nayo kwa Waganga huko , saivi natafuta connection ya Kwamsisi kuna mambo nataka nikawaone Nao Ujuzi wao
Umemaliza hela Sana na kuathirika
 
1. Yupo mmoja maeneo ya runzewe bibi fulani kufika kanambia lete pesa pumulia kwenye pesa akanambia matatizo yangu
2. Wapili sasa ni kiboko mnaingia kwenye kijumba anaziba kabisa anaita watu mnakuwa gizan anaita watu wanaongea yeye anawaita wazee ( majini) ni noma na nusu sema yeye hapatikan kwa urahisi ila yupo karibu na boda ya uganda

3. Wa mwisho nae yupo hukohuko ni kijana anaitwa baba love nae ana balaa akichanganya madawa hadi moto unawaka
Leo balaa kazi juu ya kazi
 
Huu Uzi Maalumu wa Kupeana Connection Za Waganga wa Kienyeji na Shuhuda Mbalimbali.

Kikubwa Toa Shuhuda Elezea Location Alipo Mawasiliano sio Muhimu kwa Kuwa watembeaji ni Watu wa Kujiongeza.

Nitaanza mimi.

1. Mganga wa Kwanza Nilikutana Naye kigoma Huko wilaya Ya Kakonko , Alikuwa Mama wa Makamo Mwenye Mguu Mbovu , Yule Mama Alikuwa Kiboko Aisee Akikufanyia Jambo Lazima lishike.

Kwanza Ukifika Kwake Kazi Anafanya Asubuhi tu Saa 12 mpka sa4 mwisho , Ukiingia Tu Unakutana na Kitambaa Ukutani kama Kuna Wabaya waliowahi kukufanyia kitu kibaya wote utawaona pale na vitu vyote walivyokufanyia , Mkishaangalia pamoja ndio Anaanza Matibabu.

Huyu ndiye aliyenifanya niamini baadhi ya Mambo tunayo yaonaga kwenye muvie za Kinigeria kuwa Yapo . Alikuwa kiboko sanaa kwa maradhi ya kimwili na wale wanaotaka hela za masharti . Kwa bahati mbaya mwaka jana niliambiwa amekufa kamwachia mtoto wake sijajua kama huyo mtoto atakuwa balaa kama Mama yake.

2. Nikajongea maeneo ya Biharamulo huko Nilikutana na Fundi ambaye anapiga Ramli Usiku yani huyu ni kiboko ya Wasiri , Nikienda pale akianza ramli anauwezo wakumuita mtu yoyote popote Alipo atakuja na Atatoa siri zote yaani ataongea kila kitu . Huyu nilikutana na baadhi ya viongozi wanaofichuaga siri za watu ila huyu mganga naye nilimwamini kwa kiasi fulani ingawa sikupata tiba kwake mana nilienda kuwasikiliza na kuwaita baadhi Ya watu.

3. Kuna mmoja Nilienda kwake Aisee huyu yeye nilimuona hamna kitu alikuwa maeneo ya Ukerewe kwanza picha inaanza kila alichoniambia alinambia vitu ambavyo sijawahi fanya wala kunikuta ila akawa anakomaa kuwa hayo ndo matatizo yangu yule mzee nilimkubalia ila nilivotoka sikurudi kabisa.

4. Kuna Mganga Nilikutana Naye maeneo ya Bagamoyo ni shehe yeye anatumia visomo binafsi sio muumini sanaa wa kusomewa kwani naona ni sawa tu na kuombewa unaweza fanikisha au usifanikishe , Yule mzeee Alinipeleka baharini Tukavunja nazi na Kusoma Dua zao zile ila yule kilichonipeleka sikukufanikisha Japo wenyeji walikuwa wakimsifia sanaa.

Nishakutana na waganga wengi mpka wa Dar es Salaam wakweli na Waongo ila Asikudanganye mtu Ukiamua kuamini waganga wapo watakaokusaidia na wapo watakaokupoteza kikubwa ni Kuwatambua tu , Uzuri ukishakuwa mtembeaji sanaa Huwezi Danganywa kinjinga.

Mi ngoja niishie hapa wengine endeleeni mtoe mliyokutana nayo kwa Waganga huko , saivi natafuta connection ya Kwamsisi kuna mambo nataka nikawaone Nao Ujuzi wao
Kuna mmoja alinifanya nifanye mtihani bila ada. Huyu ni kiboko nimetoboa chuo Kwa mbinde sana.
Nilipomaliza Hilo basi sijajihusisha Tena na ishu za shirki😀😀
Mungu anisamehe tu ni shida zilinielemea
Ila kama unahitaji mawasiliano nicheki pm
 
Kuna mmoja alinifanya nifanye mtihani bila ada. Huyu ni kiboko nimetoboa chuo Kwa mbinde sana.
Nilipomaliza Hilo basi sijajihusisha Tena na ishu za shirki😀😀
Mungu anisamehe tu ni shida zilinielemea
Ila kama unahitaji mawasiliano nicheki pm
Fanya mpango hio ishu pm mwana Brazil, fanya mambo tutimbe huko
 
Logically hao wote watakua waongo. Sababu kama umekutana na "A" na akawa mzuri basi usingekua na haja ya kwenda Kwa B, C, D au E.

Au kama A alikua muongo ukaja kukutana na B mkweli basi ungeishia hapo hapo kwe B ukawa unamtumia tu huyo huyo
Unafikiri mganga mmoja anaweza kila kitu ndio maana hata madaktari wa hospital kuna wa mifupa na wamoyo na hata waganga wa kienyeji pia hvyo hvyo kuna wano deal na mapenzi tu ukienda na mambo ya biashara atakulia hela yako ndio maana unaweza kwenda kwa A inshu ya mapenzi halafu ukaenda B mambo ya biashara
 
Umaskini mwingine ni wakujitakia tu, yaani unaamini kwa kupewa connection ya mganga fulani utatoboa maisha?

Mbona mganga mwenye ni choka mbaya tu kila idara ya maisha yake!!?

Enheeee..SASA mkuu kipi nafuu, mganga masikini akufanyie mambo yako yanyooke au Pastor Tajiri anaezidi kukukamua hela na hakuna unachofanikisha??

Sijui nimeeleweka?
 
BIASHARA BIASHARA BIASHARA.

Kama kuna member anaemjua mtalaamu aliebobea katika kulainisha mambo ya biashara naomba connection Pm.

Hii ni kwa wale hustlers wenzangu ambao commitment zetu tumezielekeza kwenye utafutaji.

NOTE: MAFANIKIO = AINJ

Where A- matumizi ya Akili
I- Imani
N- Nidhamu
I- Juhudi.
 
Back
Top Bottom