je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
Kuna jamaa alikuwa na mke wake ,sasa baadae akaongeza mke wa pili
Maisha yakasogea sana basi yule mke wa kwanza akaona huu ni ujinga akaenda kwa mganga wa kwanza ili kutaka mke wa pili aachike lakin mganga yule hakuweza
Akaenda kwa mganga wa pili zikapigwa nyungu za kutosha
Siku ya pili tu asububi yule mke wa pili anataka talaka yake.
Mume anashangaa kulikoni kwani nimekukosea nini??
Mke hataki kuelewa anamwambia ww niache tu sitaki kuishi na wewe
.mumu kagoma kutoa talaka ,ikabidi mke aende polisi kushinikiza talaka
Mume akaona isiwe tabu akaandika talaka akampa mke , na mwisho wao ukaishia hapo
Uchawi upo ndugu zangu
Na hawa waliofanyiana hivi ni watu ninao wafahamu kabisa wa kijijini kwetu
Maisha yakasogea sana basi yule mke wa kwanza akaona huu ni ujinga akaenda kwa mganga wa kwanza ili kutaka mke wa pili aachike lakin mganga yule hakuweza
Akaenda kwa mganga wa pili zikapigwa nyungu za kutosha
Siku ya pili tu asububi yule mke wa pili anataka talaka yake.
Mume anashangaa kulikoni kwani nimekukosea nini??
Mke hataki kuelewa anamwambia ww niache tu sitaki kuishi na wewe
.mumu kagoma kutoa talaka ,ikabidi mke aende polisi kushinikiza talaka
Mume akaona isiwe tabu akaandika talaka akampa mke , na mwisho wao ukaishia hapo
Uchawi upo ndugu zangu
Na hawa waliofanyiana hivi ni watu ninao wafahamu kabisa wa kijijini kwetu