BIG THINKER
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 680
- 1,436
Kabisa70% ya walimu tunatamani siku zirudi nyuma tuchague kada nyingine..
Siyo Ccm sema viongozi watawala CCM aina shida shida n wale jamaaCCM ikiacha tamaa ya matumbo binafsi hii nchi tuko mbali sana
kuna mwl wangu aliniambiaga usichague ualimu sas, na ww unawaambia wanafunzi hivyo?Kabisa
Oh97% ya wanawake wanaolewa wakiwa wake za watu kiasili.
Hivyo Tunaoa miili ila roho zipo kwa wame zao halisi.
Wanaume wakimya kaa nao mbali.