Uzi wa kusema ukweli

Uzi wa kusema ukweli

Screenshot_20230414-224425.png
 
Ukweli ni,

Watanzania wengi hawauchukii ufisadi/wizi wa mali za umma. BALI walio wengi, wanachukia kwanini hao mafisadi sio wao.

Kitendo cha Mtanzania kutokuwa sehemu ya ulambaji asali/Ufisadi, kinamuuma zaidi kuliko Ufisadi.
 
Back
Top Bottom