BIG THINKER
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 680
- 1,436
- Thread starter
-
- #21
Wataje watu tisa [emoji137]Kuna watu Tisa wanaogopeka sana Tanzania na hao watu Wana watu wao mnyororo ni mrefu ndiyo maana Kuna watu watafanya makosa adhabu kubwa watakayopewa ni kuhamishwa hamishwa na siyo kuondolewa vyeo walivyonavyo wakizidi sana wanabadilishiwa IDARA na vitengo ila siyo kuondolewa jumla
waogopwe katika nyanja ipi?Wanaume wakimya kaa nao mbali.
mimi nitoe hapomzabzab Mzee wa kupambania na dronedrake ni majitu smart sana sema yanajotoaga fuse maisha yasonge, limzabzab likiamuaga linadondosha grammar iliyonyooka dereva bodaboda la mchongo hilii..
Ukweli ni kuwa, 99% ya wanawake wote wa sasa ni omba omba
NAKAZIAKuoa ni kujitafutia matatizo yasiyo ya lazima.
kivipi ?Dronedrake we ni muongo wakati mwingine anapotosha
Wewe bwana sue wengine tumesoma ila ajira hamna ndio tumeamua kujiajiri kwa kuendesha bodabodamzabzab Mzee wa kupambania na dronedrake ni majitu smart sana sema yanajotoaga fuse maisha yasonge, limzabzab likiamuaga linadondosha grammar iliyonyooka dereva bodaboda la mchongo hilii..
Unadanganya watu wapige puchu ili wamaluzr akili ww una demu akiikivipi ?