Mbona huo nao uongo🤔Karibu useme ukweli wowote usiosemwa au mwambie mtu yoyote ukwel kumhusu
Naanza Mimi
Tanzania upinzania Bado hawajajipanga kupokea nchi, wakubwa wengi machawa wa chama tawala. Tuendelee kuiamin CCM Coz hatuna alternative.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] 𝐦𝐳𝐚𝐛𝐳𝐚𝐛 na 𝐦𝐳𝐞𝐞 𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐩𝐚𝐦𝐛𝐚𝐧𝐢𝐚Ah bro tupo wengi wenye ugonjwa huo
kwanza PM tuyajengeAh bro tupo wengi wenye ugonjwa huo
Mkuu ni vyema hili kulitambua kabla ya 40 la sivyo kuna kudhalilika uzeeninikihesabu fedha niliyo poteza kwenye uzinzi ni nyingi sana
nikiwa mdg nilikuwa nafuga njiwa,kuku,na mbuzi na mdg wangu tunauza, ye anahifadhi fedha mie nahonga hadi tunafika shule ya sekondari ye fm2 mie 4 akanunua baiskeli mie sina kitu
kuna siku tukakwazana, akanambia kwa fedha unayo pata ulitakiwa kuwa na pikipiki sio kuhangaika kuniomba baiskeli yangu
umalaya ni gharama mnoo
hata wanawakeAsilimia 99.9 wanaume hawawaamini baba zao isipokuwa huwaamini mama zao.
Ilibidi wanaume muwaamini baba zenu jinsia Moja. Sisi wanawake ni lazima tuwaamnini mama Zetu!!hata wanawake
Mama ndiye mwanamke anayeweka masilahi ya mtoto wake wa kiume mbele, na kuwa tayari kufanya chochote kumsaidia mtoto wake kufanikiwa. Mke anaweza kumpenda mume wake kwa dhati, lakini upendo wa mama kwa mtoto wake wa kiume ni wa kipekee na hautawahi kulinganishwa na upendo wowote uleKaribu useme ukweli wowote usiosemwa au mwambie mtu yoyote ukwel kumhusu
Naanza Mimi
Tanzania upinzania Bado hawajajipanga kupokea nchi, wakubwa wengi machawa wa chama tawala. Tuendelee kuiamin CCM Coz hatuna alternative.
☹️☹️ maneno makalii80% wake za watu wanaliwa nje ya ndoa
Basi wanaume hawajiamini na hawaaminiani pia.Asilimia 99.9 wanaume hawawaamini baba zao isipokuwa huwaamini mama zao.
truly saidMama kwa watoto alie wazaa mwenyewe kuna mmoja anampenda kuliko wote.
Mafanikio dunia ya sasa ni kuchagua upande GIZA au MWANGA ukiwa wavugu vugu hutoboi labda udhaowako uwe generstion ya 5 (mpya,),pia unaweza usijijue upo giza au mwanga.
Nguvu ya mtu mume ni uwezo wake wa kufikiri, kwa maana Mtu mume mwenye uwezomkubwa wa kufikir hasumbuliw na mtu mke.