Uzi wa kushuhudia mazuri ya kwenye ndoa, Tuyaweke pembeni yale mabaya yanayowatia hofu watu wasioe au kuolewa

Wow , how i wish nije kushuhudia kama wewe hivi😘 hongera kwa kupata mume mwema. Hivi hata mkipishana kauli kidogo kaugomvi hata hakadumu eeh? Mnaweza nuniana for a day/days?
 
Wow , how i wish nije kushuhudia kama wewe hivi[emoji8] hongera kwa kupata mume mwema. Hivi hata mkipishana kauli kidogo kaugomvi hata hakadumu eeh? Mnaweza nuniana for a day/days?

Wewe si kiburi chako tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi ni kweli masikini hawafurahii ndoa jamani? au mnazungumzia ndoa za kupelekana Paris na ku shop Dubai..maana sielewi. wapo watu tunawaona basic needs zao ni za kuunga unga mno ila wana furaha hadi mtu unawatamani[emoji23][emoji23]
Maskini wanainjoy tena sana kuliko wenye pesa sababu rate ya peace of mind ipo juu mno! Baba anamuwaza mke na watoto tu mda mwingi sio mahawara in most cases! Na mke anawajibika na mumewe.

Wake zetu sie makapuku wengi wanatupenda sana na tuna feel ule upendo wa kweli! Japo sio wote wana wake wasikivu na watulivu ila kwa waliobahatika kupata wake wasio na tamaa tamaa za kishamba they are enjoying indeed bila hata kwenda Zanzibar ama Dubai Vacations!
 
Hujanielewa. Reserve your commenti
Sijakuelewa kivipi Tena??

Akati we umesema huwa una enjoy kama mmeo akiwa Ana pay bills ,hata kukunulia vocha,kufuri

Hata kama wwe una hela ila jamaa akitoa ndo una enjoy na kuw na social security, na kuona uwepo wake

Asa pata picha jamaa Ana hata Mia ,si ndo utakapo anza kukosa hizo social security ,furaha ,mwisho wa sku utaanza kumuona jamaa ni ndenzi tu

Jamani unavyooa hakikisha una hela ,na hata ukifulia unaeeza recover soon, au unaweza kuipata sehemu hata kwa kukopa,

Bila hivo wenyew wanakwambia wanakosa social security
 
Hivi ni kweli masikini hawafurahii ndoa jamani? au mnazungumzia ndoa za kupelekana Paris na ku shop Dubai..maana sielewi. wapo watu tunawaona basic needs zao ni za kuunga unga mno ila wana furaha hadi mtu unawatamani[emoji23][emoji23]
Hapo sasa

Kingsmann
 
Wow , how i wish nije kushuhudia kama wewe hivi[emoji8] hongera kwa kupata mume mwema. Hivi hata mkipishana kauli kidogo kaugomvi hata hakadumu eeh? Mnaweza nuniana for a day/days?
Usiulize sana, wewe ingia tu huko utakachokutana nacho utabebana nacho.

Usitake kujua yote[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…