Uzi wa kushuhudia mazuri ya kwenye ndoa, Tuyaweke pembeni yale mabaya yanayowatia hofu watu wasioe au kuolewa

Uzi wa kushuhudia mazuri ya kwenye ndoa, Tuyaweke pembeni yale mabaya yanayowatia hofu watu wasioe au kuolewa

[emoji3][emoji3] Usithubutu kuhadaika na hizi shuhuda , Ndoa Ni kaburi linalotembea
Hapa ulichoandika ni Kama kwamba ndoa zote Ni kaburi/majanga. Sio kweli.
Mimi mwenyewe nipo kwenye ndoa, tunapata changamoto za hapa na pale, tunazozana, makofi yanapigwa, nanuniwa wiki lakini yanaisha maisha yanaendelea, tunafurahia.
Nothing of value is cheap asee.
Hapa nipo nafata soseji za wife (anapenda Sana soseji) wakati huohuo nimemwachia maagizo kuwa akanyoe nywele au afanye lolote kutoa marangi ya nywele ya njano (ameweka bila kuniambia na sipendi).
So ndoa Zina pande mbili, Furaha na huzuni. Mnapaswa kutafuta fumbuzi za changamoto zenu mkuu.
 
Mkuu umesema vizuri sana. Mimi pia nakazia hiyo sentensi ya mwisho.
[emoji123][emoji123][emoji123]

Tuendelee kushare taarifa njema, inaweza wasaidia baadhi ya ndugu zetu hapa juu ya uwepo wa ndoa nzuri
 
Hakika liko kusudi la Mungu katika mapenzi!
Upendo ni tunda tam sana linalotafutwa na yule muovu!

Naomba kwa Uzi huu tuambizane Yale mazuri yaliyomo kwenye ndoa!

Ili wale tunao ogopa kuingia tupate hamasa!

Mliopo kwenye ndoa msishiriki kuyapa ushindi yale mabaya tu yasikike masikioni Bali hata Yale matam!

Naomba leo muyaweke hapa Yale mazuri ili wenye hofu wayapime na wingi wa Yale mabaya!

Kuna wakati huwa najiuliza! Hivi Busu la kila siku kwa mwaka mzima inamaana halina uzito kuliko teke la siku moja?

Hamuoni ya kwamba Wanandoa wanafurahia zaidi kuliko mda wa chuki?

Wanandoa jamii inawatazama nyinyi, je kwanini Hampendi kuonesha jamii Yale mazuri ili kuwaondolea hofu?
Picha za mahaba mmezitia kufuli lakini za kuchinjana mnazileta bayana kwanini?

Naomba leo kwa yoyote humu anaejua tam yoyote ya ndoa atuambie hapa!

Story za kuchinjana na kuchomana visu na mkaa ebu leo tuziweke pembeni tuhesabu Faida za ndoa!

Wanandoa kama mtaamua kunyamaza hapa basi mtakuwa mmeshiriki dhambi ya kuyatangaza Yale mabaya yasikike zaidi kuliko mema!

Siyo kila siku tusikie negative tu!..
Naomba leo tuweke utam hadharani hapa ili ndoa iheshimiwe na watu wote!
Nawangojea hapa huku nakula zangu karanga sitoki!

Moderator mtanisaidia kuondoa zile comment hasi!
Tuwape zaidi nafas wanaoelezea tam ya ndoa!

Siyo lazima uwe kwenye ndoa, hata kama haupo kwenye ndoa lakini unayajua matamu ya ndoa karibu ushuhudie hapa
wakati wa tendo, ukifika kileleni unaona dunia yote yako, alafu ukute mwenza wako anatabia ya kuskiliziaa, aah raha hiyoo.
 
Hapa ulichoandika ni Kama kwamba ndoa zote Ni kaburi/majanga. Sio kweli.
Mimi mwenyewe nipo kwenye ndoa, tunapata changamoto za hapa na pale, tunazozana, makofi yanapigwa, nanuniwa wiki lakini yanaisha maisha yanaendelea, tunafurahia.
Nothing of value is cheap asee.
Hapa nipo nafata soseji za wife (anapenda Sana soseji) wakati huohuo nimemwachia maagizo kuwa akanyoe nywele au afanye lolote kutoa marangi ya nywele ya njano (ameweka bila kuniambia na sipendi).
So ndoa Zina pande mbili, Furaha na huzuni. Mnapaswa kutafuta fumbuzi za changamoto zenu mkuu.
Mimi nadhani kuvumilia mapicha picha hiko nacho Ni kipaji kwanini ambao tunatumia logic mpaka katk mahusiano aisee Ndoa hatuziwezi , so ngoja tuwaachie nyie tu muendelee kutuwakilisha sio mbaya 😀
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

We hapa sio sehem ya kuweka shuhuda mbaya. Subiri uzi wenu wa shuhuda mbaya
Mimi nimetoa angalizo tu kwa vijana , Maana hawachelewi kuhadaika na maneno ya Huu Uzi halafu baada ya Ndoa wanakuja kuanza kulia Lia humu 😀😀😀
 
Mnasimulia mazuri tu na kuacha mabaya ili tuoe then tuteseke wote.😂😂😂😂
Huu mtego nimeushtukia
Sindio hapo 😀😀

Eti kuna Mtu nimeona ka comment ukioa unauhakika wa kupewa papuchi /dushe wakati wowote ,, wakati Kuna watu wanalazwa mzungu wa 4 daily , Nina jamaa yangu huyo alikuwa hapewi papa na mkewe takribani miezi hata 4 na siku akipewa anapewa kwa masimango utadhani mtoto wa kambo vile 😀😀
 
Wimbo flani hivi wakati watoto wana 3 to 5 years old... honi getini pipiiiii dady dady dady dady dady dady dady dady.
 
Hizi comments Zina Tia genye 😀😀😀😀

Ila kwa ground Sasa 🤸😀
 
Back
Top Bottom