Uzi wa kutoa Maoni Juu ya Taasisi Zilizoshindwa kusimamia Misingi ya kuundwa kwake hivo unatamani zifutwe.

Tubadili mfumo wa utawala.

Tbs kama iwemeza kufungua ofs za kanda pekee kama imefanikiwa.

Nini kifanyike.

Ni madaraka mikoani/kanda.

Tubadili mfumo wa utawala kutoka mfumo wa serikali kuu na hadi mfumo wa serikali za majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe. Ambapo taasisi kama hizi ulizozitaja ziwe chini halmashari/ federal gov.
 
Policcm
Bunge mbwa koko
Takukuru
Tiaraei
Jay K. Tea
Eitsielo
Ewura
Tanesco
Hizi bodi za mikopo, sukari, nyama, maziwa na ushenzi mwingine wa aina hiyo.
Wizara ya Elimu
Wizara ya Sayansi na Teknolojia.
Braza la mitihani.

zipo nyingi sana
 
taasisi ya kwanza ilipaswa kuwa ccm.
sidhani walio anzisha TAA kisha ikawa TANU na sasa CCM walikua na dhamira ya kuwa taasisi itakayo kuwa ya kifisadi na kimafia namna hii.
 
Hata mimi naamini hivi.

Kwa sababu hata Muungano utakua stable, as Zanzibar kama zanzibar litakua jimbo lenye serikali yake na kuamua mambo yake
 
Policcm
Bunge mbwa koko
Takukuru
Tiaraei
Jay K. Tea
Eitsielo
Ewura
Tanesco
Hizi bodi za mikopo, sukari, nyama, maziwa na ushenzi mwingine wa aina hiyo.
Wizara ya Elimu
Wizara ya Sayansi na Teknolojia.
Braza la mitihani.

zipo nyingi sana
😃

Tutabaki na TISS tu sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…