Uzi wa kutolea hasira. Comment chochote hadi hasira zipoe

yaani kuna kipindi nakuwa na hasira natamani nimpige mtu kipapai ila ndo sina huo uwezo!
 
mi nataka nao wasikilizie maumivu huku wakiniona nadunda mtaani!
 
We dada wa kwa ofisi usinitafutie kesi. Naomba mwandiko huu uusome ndotoni maana jf huifahamu...ila nakupenda ivoivo maana nami huenda nimewahi mkosea Mwingine. Mungu niteteeπŸ™πŸ™πŸ™
 
We dada wa kwa ofisi usinitafutie kesi.Naomba mwandiko huu uusome ndotoni maana jf huifahamu...ila nakupenda ivoivo maana nami huenda nimewahi mkosea Mwingine.Mungu nitetee[emoji120][emoji120][emoji120]
Huyo wa kwa ofisi ndio mbaya zaidi, usiache maji mezani [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…