Tena nyie mnaoonekana kama saints ndio mlikuwa mnafaa kuwekwa front line, maana walimu wakiwaona tu, wanahisi tunasingiziwa [emoji28]
Kumbe 😂😂😂Uzi una miaka mitano nyuma. Sijui hata imekuwaje umeibuliwa 😅
Ali kupiga nini 🤔😁Bora angekuwa kanichukulia demu, ningemuachia tu.
Sema kwavile muda unaponya, nilishampotezea now sijui hata yuko wapi yule boya.
Unamchukia kisa nini!?Unakuta kuna mtu una beef nae halafu humuwezi, so unaishia kuumia wewe.
Kuna huyu jamaa sitoelezea chanzo cha bifu letu, ila roho inaniuma siwezi kumfanya chochote. Jamaa anafanya kazi machinjioni so most of the time nikikutana nae ni either ana visu au kishoka kiunoni. Nashindwa hata jinsi ya kumuingia.
Ila namchukia kinyama huyu boya.
Analyse
😅😅😅😅 uzuri maingizo mapya yapo ya kutoshaaa..We tukutane Kila jumatanno pale maskani; tujipimie zetu oil tu.
[emoji23][emoji23]yaani kuna kipindi nakuwa na hasira natamani nimpige mtu kipapai ila ndo sina huo uwezo!
Hadi wewe wanakuoneaMie sina bifu na mtu namuachia Mungu ila akizidi namwendea kwisha
Sitaki mtu akuonee hata sekunde moja.We dada wa kwa ofisi usinitafutie kesi.Naomba mwandiko huu uusome ndotoni maana jf huifahamu...ila nakupenda ivoivo maana nami huenda nimewahi mkosea Mwingine.Mungu nitetee[emoji120][emoji120][emoji120]
Eti
Haya niambie mwaya[emoji23][emoji23][emoji23]sogea karibu nikuambie kitu.
Unakuta kuna mtu una beef nae halafu humuwezi, so unaishia kuumia wewe.
Kuna huyu jamaa sitoelezea chanzo cha bifu letu, ila roho inaniuma siwezi kumfanya chochote. Jamaa anafanya kazi machinjioni so most of the time nikikutana nae ni either ana visu au kishoka kiunoni. Nashindwa hata jinsi ya kumuingia.
Ila namchukia kinyama huyu boya.
Analyse[/U
[/QUOTE]
Mkunje tu ukikutana nae. Hao wauza nyama huwaga hawakumbuki kutumia vifaa vya kazi kwenye ugomvi.