Uzi wa kutolea hasira. Comment chochote hadi hasira zipoe

Uzi wa kutolea hasira. Comment chochote hadi hasira zipoe

Unakuta kuna mtu una beef nae halafu humuwezi, so unaishia kuumia wewe.

Kuna huyu jamaa sitoelezea chanzo cha bifu letu, ila roho inaniuma siwezi kumfanya chochote. Jamaa anafanya kazi machinjioni so most of the time nikikutana nae ni either ana visu au kishoka kiunoni. Nashindwa hata jinsi ya kumuingia.

Ila namchukia kinyama huyu boya.


Analyse
Unamchukia kisa nini!?
 
Sijui kama zitapoa ila dear X Word you will never rest in peace even in your graveeee Aikoooh 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Fundi wilisol yakawa ulienidhulumu hela yangu mungu au shetani akuue kifo kibaya hadi inzi wakukimbie ukifa nikiwa hai nitakufukia peke yangu

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Huzuni, Hasira na Uchungu ni vifo vya taratibu.
 
....kuna li shangazi moja lina emotions sana ...linanisumbua akili yangu...sana thou linasisitiza sana hadi kulia eti linanipenda sana sana....sielewiii sasa....halieleweki!!
 
Ila mazee, mi kazini napiga kazi sana ila mshahara kiduchuu, mfano hapa mzigo umeingia leo tar 24 ila ushahisha kabla sijatoa.

Kuna muda nawaza niibe vitu vya taasisi ila naona kama nitakua siwatendei haki wananchi.

Ila dah naumia sana.
 
Back
Top Bottom