Heisenberg blue meth
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,310
- 1,633
Tanzania ni kubwa sana, nashangaa sana pale ninapoona kuna watu wamezaliwa dar, wakitoka sana wameenda kibaha, chalinze au mororogoro, hawajui mazingira mengine, wao wanajua tuu dar, wanasikia tuu mkoani mkoani!
Uzi Huu uwe uzi wa kutuma picha za sehemu mbalimbali hapa Tanzania na kuandika ni sehemu gani, tuweze kuijua mandhari ya nchi kwa kupitia picha hata kama sio watu wa kusafiri sana na kufika mikoa mbalimbali.
NAANZA MIMI
HAPA NI SAME, MKOA WA KILIMANJARO
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi Huu uwe uzi wa kutuma picha za sehemu mbalimbali hapa Tanzania na kuandika ni sehemu gani, tuweze kuijua mandhari ya nchi kwa kupitia picha hata kama sio watu wa kusafiri sana na kufika mikoa mbalimbali.
NAANZA MIMI
HAPA NI SAME, MKOA WA KILIMANJARO
Sent using Jamii Forums mobile app