Uzi wa kutupia aina ya Gari kali ya ndoto yako!

Uzi wa kutupia aina ya Gari kali ya ndoto yako!

Cruiser FJ ,
Mercedes Benz VIP klaseen hatari ukiiona kama noah vile


Sent using Jamii Forums mobile app

IMG_2338.JPG




Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • AUDI.jpg
    AUDI.jpg
    35.9 KB · Views: 44
  • AUDI2.jpg
    AUDI2.jpg
    36.4 KB · Views: 42
hahahah, kila la heri Mkuu, ukiitazama utasema imetengenezwa na Yale mabati ya zile hausezi za Line Police...
[emoji28][emoji23][emoji1787][emoji28][emoji23][emoji1787][emoji28].
Nashkuru sana Mkuu, nikifanikisha nitakualika siku ya kuizindua, uwe mgeni wa heshima kuizindua Mundende.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio wote, kumbuka kuna wanaofia majini na kupotea, ndege zinaungua na watu wanakua mjivu nk!!!


Weka picha ya gari ulipendalo hata kama ni fuso!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nina miliki magari mawili rav 4 na Toyota Harrier tako la nyani naona kwa sasa kwa mitikasi yangu zatosha..nina wake wawili mmoja nilimnunulia Mark X mwengine nae ana RAV 4

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom