mguu wa mwanaume wa mkoani ndio huu mkuu
Guu nyoya kaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😀😀😀We Arlen, hv hiyo jeans ni ya kwako kweli ama umeazima kwa mtu mbona kubwa sana hivyo?View attachment 706139
Kitu modo
nashukuru sana mpendwa..
Nisikie unalalamika huna viatu
Sisi wazee huwa tunavaa tu....hayo mambo tumewaachia vijana wetu.....Mkuu suruali nyeusi na soksi nyeupe.?
Katikati ya wanaume na wavulana
Mfano hiki wanapendelea kuvaa kina nan
Toba kwenue usafiri wa umma je?
Hivi wanavaa mapedeshee vifaranga watoto wa kukuToba kwenue usafiri wa umma je?
Kwenye migodi labda!Kwa Kule ulipopataja hapana
Aiseee hiki wafanyakazi wa tanesco tuko pamojaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mikato yangu
Mfano hiki wanapendelea kuvaa kina nan
Alianza Babu mpaka mjukuu.Hiki hakijawahi kupitwa na wakat.
Naomba uwe mrefu manake ukiwa mfupi unatishaaKipo mguuni sasa hivi
Hakika tupo pamoja
Aiseee hiki wafanyakazi wa tanesco tuko pamojaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]