nkowosi
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 568
- 637
mguu wa mwanaume wa mkoani ndio huu mkuu
Guu nyoya kaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mguu wa mwanaume wa mkoani ndio huu mkuu
Guu nyoya kaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😀😀😀We Arlen, hv hiyo jeans ni ya kwako kweli ama umeazima kwa mtu mbona kubwa sana hivyo?View attachment 706139
Kitu modo
nashukuru sana mpendwa..![]()
![]()
![]()
![]()
Nisikie unalalamika huna viatu
Sisi wazee huwa tunavaa tu....hayo mambo tumewaachia vijana wetu.....Mkuu suruali nyeusi na soksi nyeupe.?
Katikati ya wanaume na wavulana![]()
Mfano hiki wanapendelea kuvaa kina nan
Toba kwenue usafiri wa umma je?
Hivi wanavaa mapedeshee vifaranga watoto wa kukuToba kwenue usafiri wa umma je?
Kwenye migodi labda!Kwa Kule ulipopataja hapana![]()
Aiseee hiki wafanyakazi wa tanesco tuko pamojaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mikato yangu![]()
![]()
![]()
Mfano hiki wanapendelea kuvaa kina nan
Alianza Babu mpaka mjukuu.Hiki hakijawahi kupitwa na wakat.
Naomba uwe mrefu manake ukiwa mfupi unatishaaKipo mguuni sasa hivi
Hakika tupo pamoja![]()
Aiseee hiki wafanyakazi wa tanesco tuko pamojaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]