hahahaForex ilianza hivi hivi..
mwishoni tu usije tuambia unauza hivyo viatu
Kolomije moja
Napenda mwanaume akivaa hiki kiatu jaman
hiki mimi kinanifaa kwa kazi zangu za site[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nifanyie mpango demiss [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Aiseee hiki wafanyakazi wa tanesco tuko pamojaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji28][emoji23]Famba hizo wanavaa wanaume wa dar
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mi sina uwezo wa kutimua mbio kama DemissTuanze kwanza kukutana na wewe kabla na yeye
Mwenyewe nimekizimiakiatu hichi cha ukweli kinauzwa wapi?
Hapo ndio faida sasa maana kukimbia lazima upate hasara usiyoitarajia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mi sina uwezo wa kutimua mbio kama Demiss
Hivi viatu ukivaa na socks ss unaharibuuGentleman style
Hiki cha kupandia milima kule Himalayans...Everest.Huyu wewe kabisa hapo nakuona na mitambo yako
Hiki cha mazoezi bwana mtu yeyote anavaa
Mfano hiki wanapendelea kuvaa kina nan