Uzi wa kutupia picha za viatu vya kiume!

Uzi wa kutupia picha za viatu vya kiume!

Screenshot_20180301-214634.png
 
Siku ya kukukimbia? Ndo ipi hiyo?
Tumepanga kukutana na Mwifwa kasema atanikimbia mm na msura wangu mbaya na mm nikasema nitamkimbia na msura wake mbaya unatisha

Sasa hapa tunaviziana mm nafanya jogging kabisa ya kumkimbia

Asije kunifata anikamate nimuone vizur[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tumepanga kukutana na Mwifwa kasema atanikimbia mm na msura wangu mbaya na mm nikasema nitamkimbia na msura wake mbaya unatisha

Sasa hapa tunaviziana mm nafanya jogging kabisa ya kumkimbia

Asije kunifata anikamate nimuone vizur[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] siwawezi
 
Tumepanga kukutana na Mwifwa kasema atanikimbia mm na msura wangu mbaya na mm nikasema nitamkimbia na msura wake mbaya unatisha

Sasa hapa tunaviziana mm nafanya jogging kabisa ya kumkimbia

Asije kunifata anikamate nimuone vizur[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] siwawezi
Akikuta nina sura nzuri mbona hatonikimbia[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Nakushauri tu ukivaaa viatu kama hivyo usivae masoksi marefu kama hayo bwanaa ......vaa zile short socks ili kukipaa kiatu nafasi ya kuonekana.......
Soksi fupi zinapendeza kwenye kiatu ambacho hakifiki kwenye Ankle, kile changu kinafika kwenye Ankle, soksi fupi itaishia ndani ambapo hakitaonesha shoo nzuri
 
Back
Top Bottom