Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumepanga kukutana na Mwifwa kasema atanikimbia mm na msura wangu mbaya na mm nikasema nitamkimbia na msura wake mbaya unatishaSiku ya kukukimbia? Ndo ipi hiyo?
Hivi ndo viatu
Na mimi ngoja nipige picha ya viatu vya 'faza hausi' naona viko mlangoni![]()
Huyu baba angu kabisaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] siwaweziTumepanga kukutana na Mwifwa kasema atanikimbia mm na msura wangu mbaya na mm nikasema nitamkimbia na msura wake mbaya unatisha
Sasa hapa tunaviziana mm nafanya jogging kabisa ya kumkimbia
Asije kunifata anikamate nimuone vizur[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaaaan haya mafambaa kweli lolFamba hizo wanavaa wanaume wa dar
Anaonekana mtu mzimaa 35sKonekana kikiwa mguuni.![]()
Hivi ndo viatu
Nipo hapa pembezoni mwa magogoniUpo mkoaa gani mkuu??
I like this oneHiki cha kwanza kabisa nakipata wapi
Nakushauri tu ukivaaa viatu kama hivyo usivae masoksi marefu kama hayo bwanaa ......vaa zile short socks ili kukipaa kiatu nafasi ya kuonekana.......Nipo hapa pembezoni mwa magogoni
Tumepanga kukutana na Mwifwa kasema atanikimbia mm na msura wangu mbaya na mm nikasema nitamkimbia na msura wake mbaya unatisha
Sasa hapa tunaviziana mm nafanya jogging kabisa ya kumkimbia
Asije kunifata anikamate nimuone vizur[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akikuta nina sura nzuri mbona hatonikimbia[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] siwawezi
Wapanda mlima kupeleka watalii kinawafaa Sana hiki![]()
Aiseee hiki wafanyakazi wa tanesco tuko pamojaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sidhani kama ni wa mjini....labda vijana wa kihuni ndo wameshaelewa...watu wa mjini washaelewa.
Soksi fupi zinapendeza kwenye kiatu ambacho hakifiki kwenye Ankle, kile changu kinafika kwenye Ankle, soksi fupi itaishia ndani ambapo hakitaonesha shoo nzuriNakushauri tu ukivaaa viatu kama hivyo usivae masoksi marefu kama hayo bwanaa ......vaa zile short socks ili kukipaa kiatu nafasi ya kuonekana.......