Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,767
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninunulie![]()
Wakak wa chuo sna neno
Hakika nitafanya hvo japo cko interested sana na hzo zangu huwa ni slippers..!!! Nazipenda mpaka muda mwingine nataman kuzipika supu [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hongera sana ukiwa unatoka out naomba uvae hiki![]()
tugawane hayo madini basi kwanzaNilkuwa busy kuna madini nilkuwa naanda nipe umbeya tafadhali nikachungulie nisafishe ubongoooo
Hapo nmekulewa ss
Yaaaan katika vitu ambavyo vinanichanganya kwa mwanaume ni viatu and of all people walopost viatu kwa leo aiseee nimeshawishika kukuambiaa kuwa kutokana na ulivyovaaa we ni mtu makini saaana analfu anayejielewaa upo kwenye around 35/6...nimetamani kukuona ghaflaa kudos[emoji149]![]()
Hahahaha sawa,ila nimeambiwa nisitupie sana vitu humu RAIA watapanic,so nimeacha![]()
Ukiwa unakuja kunitembelea tafadhali uvaeeee
Wekeni na Bei kabisa
kumbe!Yaaaan katika vitu ambavyo vinanichanga kwa mwanaume ni viatu and of all people walopost viatu aiseee nimeshawishika kukuambiaa kuwa kutokana na ulivyovaaa we ni mtu makini saaana ...nimetamani kukujua ghaflaa kudos
Hilo toleo la around 2010 style ya zaman saana hiyoSijaviona hivi mkuu....au kwenye list havipo?![]()
U'mfuatiliaji mzuri wa styles ila haijalishi sana mkuu kuna sehem tukiingia na hivyo hivyo tuanaonekana sio wa kawaida hata kidogo.Hilo toleo la around 2010 style ya zaman saana hiyo
Karibu TufahamianeYaaaan katika vitu ambavyo vinanichanganya kwa mwanaume ni viatu and of all people walopost viatu kwa leo aiseee nimeshawishika kukuambiaa kuwa kutokana na ulivyovaaa we ni mtu makini saaana analfu anayejielewaa upo kwenye around 35/6...nimetamani kukuona ghaflaa kudos
OmbaNaomba uwe mrefu manake ukiwa mfupi unatishaa