Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Siuzi ila pia sitoi bureKwani unauza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siuzi ila pia sitoi bureKwani unauza?
[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi kuna kila dalili ya kumuacha huyu nilie nae japo yeye haonyeshi kupenda pesa ila anajifanya ubize sana kiasi kwamba hata hiyo papuchi kuipata inachukua mpaka miezi mitatu,hii sasa ni likizo wazee.
Duh kama ulikuwepo kichwani kwanguHauzi wala hatowi bure.
Mkuu hawawezi kukuonyesha moja kwa moja. Vinaanza visa kama ivyo anakubania papuchi kwa sababu anajua utajiuliza sasa maugumu yangu nitayatolea wapi.? Kwa hiyo anakulazimisha uanze kufikiria nje ya box kupunguza maukaka.Mimi kuna kila dalili ya kumuacha huyu nilie nae japo yeye haonyeshi kupenda pesa ila anajifanya ubize sana kiasi kwamba hata hiyo papuchi kuipata inachukua mpaka miezi mitatu,hii sasa ni likizo wazee.
Mwanaume handsomeHuyu nani?
Naona unajipigia promooView attachment 688808
Kama haikidhi vigezo mseme niitoe
OouhMwanaume handsome
Hehee.. Hakuna aliyezaliwa anayo pesa. Nilichopata kidogo nampa lakini akaona haitoshi anataka zaidi. Sikuona sababu kumzuia kwenda kupata kile anacho kitaka. Though kwenye mgegedo si tunapata raha wote.Alikua anajua fika atatumika bila hata pole ya karatasi,mana pole za mdomo tushazizoea[emoji23][emoji23]aljua atapigika af asipate hata kipozeo
Nimewahi kumpa kadi mbili za njano akaomba msamaha yakaisha sahizi anaenda kula redcard tena siku ya wapendanao kabisa[emoji120] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mkuu hawawezi kukuonyesha moja kwa moja. Vinaanza visa kama ivyo anakubania papuchi kwa sababu anajua utajiuliza sasa maugumu yangu nitayatolea wapi.? Kwa hiyo anakulazimisha uanze kufikiria nje ya box kupunguza maukaka.
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Naona unajipigia promoo
Mmh hapana hebu njoo PM tukumbushane vzrHaaaaaa ummtotomlito do you remember me ?.
ya shemeji ni ipi apo?Sawa bhn
Ukidhiriki au ukidiriki?Poleee yaooooh wivu ni kidonda ukishiriki utakonda
Ukishiriki au ukidiriki?Poleee yaooooh wivu ni kidonda ukishiriki utakonda
Abee laazizi unataka nitupie picha yako?
Ngoja mkuu uziwetu utakujatuu.kwahiyo humu watu wenye sura mbaya kama sisi hatuna nafasi kabisa au sio
KWELI UBAGUZI KILA SEHEMU UPO .. SIO MPKA UISHI ULAYA
[emoji23] [emoji23] ungesubiri kwanza uone kama angetuma....hata akituma ni kwasababu umemwambiaCha mdeko usisahau kunitupia na mimi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] ungesubiri kwanza uone kama angetuma....hata akituma ni kwasababu umemwambia