Uzi wa kutupia picha za wanaume mahandsome!!!

lakini bi dada humu kazungumzia sura. Suala la pesa ni uzembe wa muhusika.
 
Mh! Hawa ni wote?!!! au kuna wachache tu kwenye pikture... Maana wapo wengine tunafanana nao.. Kabisa. Na nasikitika kukujulisha hilo kundi sio langu kabisa.
Hapo mmoja tu ndo mbayaaaa wengine [emoji291][emoji291][emoji291][emoji291][emoji291]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…