1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
ulitaman aku[emoji16] [emoji16] [emoji16]View attachment 689129 huyu nae alikua balaa enzi zake sema siku hizi kazeeka nilikuaga natamani hata anioe jamani ndoto hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulitaman aku[emoji16] [emoji16] [emoji16]View attachment 689129 huyu nae alikua balaa enzi zake sema siku hizi kazeeka nilikuaga natamani hata anioe jamani ndoto hizi
Usinisahau shoga angu.Hapa roho zinawaumaaa..kinachofata tufungue uzi wa pm turushe wanaume wa jf walivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaaa..kwa hio utavumilia kupakwa mafuta?
Ooh yeahhahaa sio van vicker huyo ..oohh wewe wamsema desmund eliot..yule ambaye ni mbunge kwa ssa
Anzisha uzi..uoneWewe ya mkeo unaweza kuweka mtandaoni?
Utacheka mpaka ufeee wachache sana wanatazamika ,,hutaamini kama ndio hawa wanatoaga mapovu jf[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usinisahau shoga angu.
Hapana van vicker mzuri lakin mfupi ilahahaa sio van vicker huyo ..oohh wewe wamsema desmund eliot..yule ambaye ni mbunge kwa ssa
Ahahahajahkwa hio utavumilia kupakwa mafuta?
Anatoka na mkaka gani?Kuna yule mmoja anaetokaga na Rachel Temu nae ni balaa
Mim vibamia havinipo tabu kabisa,,tena raha maana havitanui khahaaa
Hahahaaa. Kwa nini tena Shoga?Wananoga kuwaona hivyo hivyo tuu,.ila si kwa matumizi ya kifamilia[emoji4][emoji4]
[emoji3] [emoji2] olemhola nkoi?![]()
Hb wa Nyanguge
Mi nataja angalia vyemaMngekuwa mnasema ni picha za akina nani hizo sio mnatupia masanamu mnasema ni ma handsome
Ngoja nijiridhisheMi nataja angalia vyema
Mmh mie ni shida kwa muonekano, ni pesa tu ndo sina, teh!Wewe jitupie tu hakuna shida
. Embu weka group bwana.Utacheka mpaka ufeee wachache sana wanatazamika ,,hutaamini kama ndio hawa wanatoaga mapovu jf[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
YapNgoja nijiridhishe
UPDATE:
Nimejirisha kuwa unataja kweli majina na details zao japo kidigo[emoji106] [emoji106]
Ahahhahaha tutasemwa shogaaa. Embu weka group bwana.