Hahahahaa. Raha jipe Mwenyewe. Umetishame mwenyewe handsome vile vile
Naangalia neema za Allah na mienakuona
Okay
Mimi katika ubora wangu.
isome mia ki vp?Naomba kesho page isome 100
hahahahaaaNaangalia neema za Allah na mie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaaa haya bwana, mi sisemi kitu[emoji12] [emoji12]
Kweli kabisa my dear. Na ndio kilichobakia hicho.Hahahah Amina shostii,.maisha yenyewe yako wapi haya yakujinyima,...tunapambana Mungu akitupa basi si vibaya kujilia mema ya nchi ukiwa na uwapendao,haha kwani shin' ngapi eti,.aaah tuombeane tuu mwaya afya njema na mafanikio[emoji8]
Teh[emoji4] [emoji4] [emoji4]Okay
TBS ya KolomijeKatika ubora wake umethibitishwa na TBS [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wengine vichwa kama matikiti
Utakuta chake kama pera mwili wa lembebezWeka na ya kwako tulinganishe
Mwenyewe sipo [emoji2][emoji2][emoji2]Mm sipo naogopa ugomvi [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]