Ni mrefu km wacheza básket, ana body flani hivi hiyo misuli sasa, ana sura ya kiume sio nzuri wala sio mbaya ana rangi flani ya kahawia ni pande la mtu anafaa kuwa model sema ndo hivyo bongo bahati mbaya tuMmmmh mzuri kama nani toa mfano tulinganishe nisije ona wa kawaida tu
[emoji125] [emoji125] [emoji100] [emoji100]Kimbia fasta wewe..acha kuomba
[emoji125] [emoji125] [emoji100] [emoji100]Kimbia fasta wewe..acha kuomba
[emoji125] [emoji125] [emoji100] [emoji100]Kimbia fasta wewe..acha kuomba
Dah bro umenisave sana haka kapicha kuna mtt anapenda sana kuchezea simu yangu sasa nilikuwa nacheck huu uzi nimefika kwenye hii picha nikatoka nje kumbe kaiona hii picha basi kaogopa sana yan cm hachezei tena anasumbua sana aisee hasa ikiwa charge....
Usiombe ukakutwa wewe acha masiaraIla hao mahandsome mmh! Wanavutia tu kuwatazama lakini kwa mambo yale mi hawanivutii
Hahaha sijifu aiseee.[emoji23][emoji23][emoji23]usiniambie