drugtest
Senior Member
- Jan 12, 2018
- 148
- 211
Kumwanyina nani kaweka hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumwanyina nani kaweka hii?
Sawa Ms.LincolnWroooong!![]()
Kiboko yake divaWroooong!![]()
Huwezi shuhudia napigwa usinisaidie[emoji23]ukishapigwa utanuna mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23]Lakini mna wivu!
Mkianzishaga nyuzi zenu za mademu wakali wenye chura sisi huwa tunatulia tu,sasa ndio nini kuwarusha hao wahenga[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama kibwebwezile sawa chief, lkn ss huyo na hilo fundo hapo nyuma kha![emoji23][emoji28][emoji23]
Ebu ipost tuione na sisiAisee nimestuka sana kwakweli kukuta picha yangu humu bila ridhaa yangu
Hatomsahau mpaka anaingia kaburini[emoji23][emoji23]Kiboko yake diva
Amejua kumpelekesha mapenzi ugonjwa mbaya sana mpaka aje kumsahau sio leoHatomsahau mpaka anaingia kaburini[emoji23][emoji23]
Kuanzia leo nafuta kigezo cha sura[emoji23]Mwanaume pesa sura Hata Mbuzi anayo [emoji85][emoji85][emoji3]
Imeandikwa Fedha ni jawabu la mambo yote [emoji108]
Kuna wanawake walioingia Kwenye mahusiano ya ndoa kwa kuangalia sura ya mwanaume Ili hali waume hao hawana pesa Hata ya kuweza kujikimu na familia Mwaka wa kwanza, wa pili n.k mwisho wa siku ndoa hizo zimeishia kivunjika kwa asili!
Rejea ndoa ya Madam Florah Mbasha, Joyce Kiria na wengine wengiiiii!
Wadada unapotaka kuolewa usianze kwa kuangalia sura ya mwanaume badala Yake angalia upendo, uaminifu, Ucha Mungu, uwezo wa kuweza kupata pesa ya kujikimu na familia n.k
Kwahiyo huu uzi ni kulipiza kisasiLakini mna wivu!
Mkianzishaga nyuzi zenu za mademu wakali wenye chura sisi huwa tunatulia tu,sasa ndio nini kuwarusha hao wahenga[emoji23][emoji23]
Hahahahaduuhhh huyo Jamaa mrefu mpka ukuta kaupita ..nahisi anauwezo wakuiona mpka kesho ..
hahaha sijui kibwebwe ndio nn lkn nimechekaa hahaha eti kibwebwe [emoji23][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama kibwebwe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa mara ya piliEbu ipost tuione na sisi
Daaah!!!![]()
Hb wa Nyanguge
Wa kusafisha macho!Kwahiyo huu uzi ni kulipiza kisasi