Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa. Usinikumbushe jamani. Mi mwenyewe situmii beauty plus ila mwanaume anatumia jamaniNa yeye atasema ktk ubora wangu alafu anatumia Beauty plus
Atatuchamba tu halafu basi maisha yataendeleaNgoja apite jaman tutakomaa
una upload picha za warembo unasema ma handsome , watu full kujipiga madawa kwenye nywele mpaka kope halafu unamwita handsome, dah kweli wanawake wa kiafrika mnapenda kuibiwa
Beuty plus ndio kipodozi gani hicho?Hahahaaaa. Usinikumbushe jamani. Mi mwenyewe situmii beauty plus ila mwanaume anatumia jamani
Wewe huyu kaka jana kajibu Dm ahahah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Atatuchamba tu halafu basi maisha yataendelea
Wacha weeee... utaokota hela week hiiWewe huyu kaka jana kajibu Dm ahahah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 689619 nilimsifia mweee akanijibu ,yupo katika series ya Ray Donovan
Huu uzi ni mhimu sana sijui kama vijana wameuelewaAna sura ya kimarangu huyo kaka.
Wacha weeee... utaokota hela week hii
Na hazitoishaaKabisa tunapenda ligiiii Kama simba na yangaaa
Hahahahaaa..View attachment 689622 mim ningekua maulaya huko wangenikoma hawa watu,anatumia hilo jina Insta