Uzi wa kuwaunganisha wenye ujuzi na wenye mitaji

Uzi wa kuwaunganisha wenye ujuzi na wenye mitaji

Mjasiliamali najihusisha na waste recycle na supply chupa za henken , Windhoek n.k .
Nahudumia viwanda vyinavyotengeneza pombe ya ndizi vilivyopo ndani na nje Kwa apa arusha,mbeya n.k
Ila Kwa sasa biashara inasuasua kutokana na serikali kufunga viwanda na kuamuliwa wafunge machine za uzalishaji.
Kwa sasa nafunga mashine ya kucrash maplastik chakavu ambao nitaanza soon.
Changamoto soko ni wachina mizani yao aipitiwi wanaichezea Sana na hakuna wa kutusemea .
Biashara yangu nimesajiri Kwa jina la forogo waste recycle investment'
Mwisho ningepata mbia mwenye mtaji tukashea frusa zipatikanazo dampo maana wachina wemefanya uwekezaji mkubwa kipekee na masoko yao makuu ni kwao wanapanga bei wanavyotaka sababu walio wengi hii shughuli wanaizarau sababu ni ya uchafu au yajalala wachina wanakamata frusaa.
Samahani Kwa uandishi mbovu nadhani nimeelewa.
Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu tutafutane nina interest na hii kitu
 
Ujuzi: Marketing and Entreprenurship/ Information Comm. Technology.

Currently: Declaration Clerk, Enterprise Logistics Co. Ltd logging shipping documents za aina zote kwenye mfumo wa Tancis na kufanya clearance ya mizigo bandarini na kwenye ICD mbalimbali.

I also serve KCL Limited as a part time marketing staff majoring in Branding and Advertising. Kwa wenye kazi za printing, mabango yote 3D na ya kawaida msisite kunicheki! Kazi zetu baadhi ni kama full branding ya container ile ya Mak Juice, Lolo Juice Tabata senene, Hammer Juice, Last Minute ya Irene Uwoya, 3D logo ya Clouds Fm, Halotel, Paradise trends, Kwa Mkinga na nyingine nyingi. Tshirts tumefanya nyingi sana kuna kazi za CRDB, Zile za RIP Ruge yani nyingi tu zikiwemo za puff, za kudarizi na za sticker.

I Welcome you all to get the best business experience ever!

Mkuu mimi nahitaji miavuli kama ya Mak Juice lakini iwe na logo ya juice yangu. Ntaipataje?
 
Ujuzi wangu ni biashara,tupo mtu mbili tunafuata mazao kijijini tunakuja kupiga hela mjini kwa sasa aliekua na shamba amesitisha kulima tatzo limekua ni mtaji tulikua tunafuata mzigo wa m6 tunauza hadi zaidi ya m7 sabb dalal tulikua sisi wenyewe kwa mwezi safari hadi mara tatu sasa tatizo limekua ni mtaji kwa sasa nafanya mishe zingne zinazonipa kusogeza maisha hapa mjini....nikipata mtaji narudi kwenye kazi
Mazao aina gani ulikuwa unanunua na upo mkoa gani na soko liko wapi mkuu

$ There's clear light at the end of the Tannel $
 
Ujuzi wangu: Finance and business consultancy
Wazo langu: Kumiliki consultants firm yangu
changamoto:mtaji kufungua ofisi (sasa nafanyia home wateja napata wengi lakini price ziko chini mno coz sina ofisi)
Faida: inapatikana lakini ni kidogo sana inasaidia tu kucover expenses za kawaida tu
lengo:kufika mbali mwenye uwezo wa kunipa soft loan nina asset land plot hekar 13 na pikipiki 1 used
Unapatikana wapi

$ There's clear light at the end of the Tannel $
 
Mjasiliamali najihusisha na waste recycle na supply chupa za henken , Windhoek n.k .
Nahudumia viwanda vyinavyotengeneza pombe ya ndizi vilivyopo ndani na nje Kwa apa arusha,mbeya n.k
Ila Kwa sasa biashara inasuasua kutokana na serikali kufunga viwanda na kuamuliwa wafunge machine za uzalishaji.
Kwa sasa nafunga mashine ya kucrash maplastik chakavu ambao nitaanza soon.
Changamoto soko ni wachina mizani yao aipitiwi wanaichezea Sana na hakuna wa kutusemea .
Biashara yangu nimesajiri Kwa jina la forogo waste recycle investment'
Mwisho ningepata mbia mwenye mtaji tukashea frusa zipatikanazo dampo maana wachina wemefanya uwekezaji mkubwa kipekee na masoko yao makuu ni kwao wanapanga bei wanavyotaka sababu walio wengi hii shughuli wanaizarau sababu ni ya uchafu au yajalala wachina wanakamata frusaa.
Samahani Kwa uandishi mbovu nadhani nimeelewa.
Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbia ambae anaitajika kuwa na kamtaji ka shilingi ngapi

$ There's clear light at the end of the Tannel $
 
Ujuzi wangu ni biashara,tupo mtu mbili tunafuata mazao kijijini tunakuja kupiga hela mjini kwa sasa aliekua na shamba amesitisha kulima tatzo limekua ni mtaji tulikua tunafuata mzigo wa m6 tunauza hadi zaidi ya m7 sabb dalal tulikua sisi wenyewe kwa mwezi safari hadi mara tatu sasa tatizo limekua ni mtaji kwa sasa nafanya mishe zingne zinazonipa kusogeza maisha hapa mjini....nikipata mtaji narudi kwenye kazi

M6 kuuza M7 ni biashara mbaya sana, ili ufanikiwe hakikisha biashara yoyote inaingia angalau mara mbili ya mtaji, hiyo 6m ingeingiza 12m na kuendelea ungesema una biashara
 
Mjasiliamali najihusisha na waste recycle na supply chupa za henken , Windhoek n.k .
Nahudumia viwanda vyinavyotengeneza pombe ya ndizi vilivyopo ndani na nje Kwa apa arusha,mbeya n.k
Ila Kwa sasa biashara inasuasua kutokana na serikali kufunga viwanda na kuamuliwa wafunge machine za uzalishaji.
Kwa sasa nafunga mashine ya kucrash maplastik chakavu ambao nitaanza soon.
Changamoto soko ni wachina mizani yao aipitiwi wanaichezea Sana na hakuna wa kutusemea .
Biashara yangu nimesajiri Kwa jina la forogo waste recycle investment'
Mwisho ningepata mbia mwenye mtaji tukashea frusa zipatikanazo dampo maana wachina wemefanya uwekezaji mkubwa kipekee na masoko yao makuu ni kwao wanapanga bei wanavyotaka sababu walio wengi hii shughuli wanaizarau sababu ni ya uchafu au yajalala wachina wanakamata frusaa.
Samahani Kwa uandishi mbovu nadhani nimeelewa.
Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
Wazo zuri,huyo mbia anatakiwa awe na mtaji kiasi gani? Napia kwa sababu uko field,hiyo biashara huwa inakupa faida kiasi gani,kwa mwezi?
 
M6 kuuza M7 ni biashara mbaya sana, ili ufanikiwe hakikisha biashara yoyote inaingia angalau mara mbili ya mtaji, hiyo 6m ingeingiza 12m na kuendelea ungesema una biashara
We ni mbwiga kweli hivi kupata m1+ mara nne au tatu kwa mwezi ni hasara???unataka upate faiada za kwenye makaratasi???naomba unitajie na udhibishe biashara yenye mtaji wa m6 kwa mwezi inayoingiza m12,na anaeifanya awe na umri wa chini ya miaka 15 watu wa aina yenu ndio mnafanya watu waendelee kuishi usingizini na kidogo tu nikutukane
 
Acha kuongea kihuni.

Elezea vizuri Gharama ya kununua Mazao, Usafiri, Changamoto.

Pia kuhusu Mauzo n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nilivyojua kuandika hivyo yani hapo ndio uwezo wangu huwezi kuniambia nimeandika kihuni wakati mie sii muhuni mauzo nimeelezea hapo,changamoto kubwa kwenyee mauzo ni kumuachia dalali mzigo wako akuuzie huku yeye hajakulipa kupoteza/hasara ni nje.me nilikua dalali na nilkua mzoefu hio ilinipita mengine ni yale ya kupambana nayo tu gafla gafla mara yanapotokea
 
Binafsi nina business idea, " inahusu mambo ya malipo,a payment solution for online businesses)" already nimeandaa business name, na nipo kwenye write up ya business plan. Nahitaji business partners wawili tu, mmoja awe mtaalam mbobezi wa masuala ya IT( programing) na mwingine awe na Pesa around 20 to 30M,au Fixed assets kwajili ya set up ya ofisi.Mimi ni mtaalam wa masuala ya fedha na utawala (Nimebobea) kwahio nitachangia utalam na Idea.Kwa maelezo zaidi njoo PM tuyajenge. NB.Mtaalam wa IT uwe na evidence ya kazi ulizowai kuzifanya ambazo alteast zinafanana na project, na anayechangia mtaji awe na evidence ya bank statement or deposit.
Pia kuhusiana na pesa,naweza kuchangia pia na mtu wa IT awe tayari kuchangia, Pia mtu wa marketing atahitajika hivyo tutajadili kama awe partner au tumwajili

Nawasilisha
 
Back
Top Bottom