Mjasiliamali najihusisha na waste recycle na supply chupa za henken , Windhoek n.k .
Nahudumia viwanda vyinavyotengeneza pombe ya ndizi vilivyopo ndani na nje Kwa apa arusha,mbeya n.k
Ila Kwa sasa biashara inasuasua kutokana na serikali kufunga viwanda na kuamuliwa wafunge machine za uzalishaji.
Kwa sasa nafunga mashine ya kucrash maplastik chakavu ambao nitaanza soon.
Changamoto soko ni wachina mizani yao aipitiwi wanaichezea Sana na hakuna wa kutusemea .
Biashara yangu nimesajiri Kwa jina la forogo waste recycle investment'
Mwisho ningepata mbia mwenye mtaji tukashea frusa zipatikanazo dampo maana wachina wemefanya uwekezaji mkubwa kipekee na masoko yao makuu ni kwao wanapanga bei wanavyotaka sababu walio wengi hii shughuli wanaizarau sababu ni ya uchafu au yajalala wachina wanakamata frusaa.
Samahani Kwa uandishi mbovu nadhani nimeelewa.
Asante
Sent using
Jamii Forums mobile app