Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,366
- 14,167
wee mrembo
Zimefikashukrani sana msalimie
Ukiwa last born unakuwa na nafasi ya kudekezwa hata ukiwa na familia yako, yaani ndugu zako wote wanakuona bado upo mdogo mno na wanaamini ni katoto.Sorry, hivi mnaongelea wale ambao bado mnaishi kwa wazazi ??, kwa sababu mkishaanza kujitegemea ulastborn wako utamfanyia nani ?.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1384357
Lastborn wana raha utasikia mwacheni mtoto
Hata akila mkate mzima wengine mkose hata hafokewi sasa kula wewe ambae wa pili kuzaliwa utaona cha mkutema kuni [emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Last born mie![emoji847][emoji847][emoji847] View attachment 1384319
So trueUkiwa last born unakuwa na nafasi ya kudekezwa hata ukiwa na familia yako, yaani ndugu zako wote wanakuona bado upo mdogo mno na wanaamini ni katoto.
Huyu wa kwenye ndoa
Kwa hyo kwa sasa utakuwa second year chuo na miaka yako 21Hadi namaliza Advance 2018 nna miaka 19 ilikua mtu akinywa maziwa yangu,utamskia mama "Nani kanywa maziwa ya Mtoto?"
Hahahaha mtotoje sasa dingii akati namicha hadi mamanzi kabisa??mtoto ni yule ako below 18Kwa hyo kwa sasa utakuwa second year chuo na miaka yako 21
Ni mtoto kweli hajakosea bi mkubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787] khaa!Mimi hadi leo hii nina familia yangu lakini kwa mama bado ni mtt huwa anahakikisha nimekula ontime na kulala hata nikisafiri mbali hunipigia kukumbusha kunywa maji na kula
Sent using Jamii Forums mobile app