Phd young junior
Senior Member
- Dec 24, 2016
- 119
- 88
[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi hadi leo hii nina familia yangu lakini kwa mama bado ni mtt huwa anahakikisha nimekula ontime na kulala hata nikisafiri mbali hunipigia kukumbusha kunywa maji na kula
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app