Nafikili hii tabia yangu ya kudeka inatoka na Kuwa lastborn Mama alijua kunidekeza mno.Ila ulast born Raha jamani.
Mama anasema muachieni mtoto,kila kitu anakula mtoto..
Hadi Sasa na uzee wote huu lakini bado nna kanafasi kangu nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tunatumwa Sana
Mimi nadhani Ni housegirl wa dada zangu..ikafika muda nikawa mkali maana nilikuwa naendeshwa Kama gari bovu.
Unakuta unaagizwa kitu dukani,unajrudi Mara unaambiwa tulisahau hiki nenda Tena...Mimi nilikuwa nawaambia ukiona umenituma kitu ukasahau kngine Basi uende mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulipoa tayari mkuu, lakini kuna time namkumbuka sana aiseeeePole sana kaka.
View attachment 1384357
Lastborn wana raha utasikia mwacheni mtoto
Hata akiwa mkate mzima wengine mkose hata hafokewi sasa kula wewe ambae wa pili kuzaliwa utaona cha mkutema kuni [emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
NakaziaFirstborn acha tuwe wasoma comments tu
Hata Mama hakukupenda?
Kwenye familia yetu favor zote nakula Mimi firstBorn.Uzi wetu malast born.
Ila malast born kuna kafavour flani tunapewa nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Muachieni mtoto[emoji12][emoji12][emoji12]Ila ulast born Raha jamani.
Mama anasema muachieni mtoto,kila kitu anakula mtoto..
Hadi Sasa na uzee wote huu lakini bado nna kanafasi kangu nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu.pumzika kwa amani mdogo wangu ....jana tuu nilikukumbuka , wakati nasikiliza wimbo wa Maroon 5-Memories , nawish ungekuwepo na mimi ningekuwa ninavimba kuwa na kabeauty sibling ,
Mama , kaka zako na dada yako Tumekumiss sana unaishi mioyoni mwetu Forever
Usiombe ukutane na last born wa familia yetu. Ni wa kiume na anajua hadi kupika chapati.
Unaleta mchezo nini, umezaliwa dada zako wako boarding school na wengine tumeolewa. Na vile wazazi wameamua asome day kwa sababu ni katoto ka mwisho msoto wake si wa kitoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuu...Pole sana mkuu.
Yaani, ila mna majukumu mazito sana, mizigo yetu yote tunaitua kwenu. Kuwa first born ni jukumu kubwa sana hilo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkubwa mkubwa tu
Mimi najua ungekuwa kaziwanda na weweNakazia
#DeputyParents
Uliona unateswa mwenyeweDada yangu ilikuwa nikijua leo anapika nilikuwa namkimbia maana kutumwa hakuishi unapeleka hiki hujakaa chini tena lete kile[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
HahhaahaYaani, ila mna majukumu mazito sana, mizigo yetu yote tunaitua kwenu. Kuwa first born ni jukumu kubwa sana hilo.
Hata lastborn wetu naona hana favor zozote anazo pata, naonaga mie ndio napendelewa sijui ni sababu sio mkaaji sana wa nyumbani
Kifungua mimba mie 😀😀Mimi najua ungekuwa kaziwanda na wewe