Tatizo alikuwa anatuma kitu kimoja kimojaUliona unateswa mwenyewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nakuonaga mayai mayaiKifungua mimba mie [emoji3][emoji3]
Lastborn jeuri kwa wakubwa zake[emoji3] walikuwa hawakutwangi kofi?Tunatumwa Sana
Mimi nadhani Ni housegirl wa dada zangu..ikafika muda nikawa mkali maana nilikuwa naendeshwa Kama gari bovu.
Unakuta unaagizwa kitu dukani,unajrudi Mara unaambiwa tulisahau hiki nenda Tena...Mimi nilikuwa nawaambia ukiona umenituma kitu ukasahau kngine Basi uende mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pampula nani hakupendi sasa?
Dada nitake radhi 😀😀😀 we ndio mlaini mlaini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nakuonaga mayai mayai
Ujambo my second wife.Uzi wetu malast born.
Ila malast born kuna kafavour flani tunapewa nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe first born tutakukeketa[emoji3]Last born Wote Was*ng* tuu
Njooni Mnipige Nipo Nyumbani
.
.
.
.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji13][emoji13][emoji13]
Lastborn wetu ni kajeuri mama anasemaga tumuite kaka kisa tuliomtangulia wote KE...kuna siku alinizingua nilikachapa mpaka nikamuonea huruma baadaye ( ni mlevi wa kiepe yai nikambeba nikaenda kumnunulia urafiki ukarudi.Lastborn jeuri kwa wakubwa zake[emoji3] walikuwa hawakutwangi kofi?
Sent using Jamii Forums mobile app
We utakuwa toto la piliLast born Wote Was*ng* tuu
Njooni Mnipige Nipo Nyumbani
.
.
.
.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji13][emoji13][emoji13]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Shika adabu yako we binti mimi na ulaini wapi na wapi [emoji134][emoji134] sugu zimenijaa kwa ajili ya kulimaDada nitake radhi [emoji3][emoji3][emoji3] we ndio mlaini mlaini
Mimi najua ungekuwa kaziwanda na wewe
Nyie madada ndio mlikuwa mstari wa mbele kutubebelea last born kwenda kuzurura utafikiri tulikuwa walinzi wenu! Hapo mnapata na utetezi kuwa ulikuwa na mdogo wako hivyo hukupita chocho mbaya! Na sisi tulivyomaboya ukitununulia pipi tu hatusemi chochote 😂 ila Sasa zingua uone siri zake zinavyochomoka utajua tu huyu mdogo wako ni chombo cha habari au chombo cha baharini😂Dada nitake radhi 😀😀😀 we ndio mlaini mlaini
[emoji3][emoji3][emoji3]aisee kweli ulikachapa mpaka ukaamua kukapooza kwa kiepe.Lastborn wetu ni kajeuri mama anasemaga tumuite kaka kisa tuliomtangulia wote KE...kuna siku alinizingua nilikachapa mpaka nikamuonea huruma baadaye ( ni mlevi wa kiepe yai nikambeba nikaenda kumnunulia urafiki ukarudi.
Halafu nachompendea hasira yake haikai sio kama Mimi ukinizingua nanuna balaa
We receive all the remaining love from our parentsUzi wetu malast born.
Ila malast born kuna kafavour flani tunapewa nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mlivyo wambeya sasa [emoji1787]Nyie madada ndio mlikuwa mstari wa mbele kutubebelea last born kwenda kuzurura utafikiri tulikuwa walinzi wenu! Hapo mnapata na utetezi kuwa ulikuwa na mdogo wako hivyo hukupita chocho mbaya! Na sisi tulivyomaboya ukitununulia pipi tu hatusemi chochote [emoji23] ila Sasa zingua uone siri zake zinavyochomoka utajua tu huyu mdogo wako ni chombo cha habari au chombo cha baharini[emoji23]
Kun watu wachawiWe utakuwa toto la pili
Heee Mwanaume anakeketwaje ?
HahahaNyie madada ndio mlikuwa mstari wa mbele kutubebelea last born kwenda kuzurura utafikiri tulikuwa walinzi wenu! Hapo mnapata na utetezi kuwa ulikuwa na mdogo wako hivyo hukupita chocho mbaya! Na sisi tulivyomaboya ukitununulia pipi tu hatusemi chochote 😂 ila Sasa zingua uone siri zake zinavyochomoka utajua tu huyu mdogo wako ni chombo cha habari au chombo cha baharini😂
LioneKun watu wachawi
Umejuaje ??Heee Mwanaume anakeketwaje ?
Hembu Njoo unipe mfano [emoji23][emoji23]