Uzi wa ma-lastborn tu

Huo wizi sasa
Ndio ila ulikuwa wizi wa hela nimeshakuwa Sasa tabia imekufa ila shilingi kumi na shilingi ishirini na Silva nyengine zilinikoma wakati huo😜
 
[emoji23][emoji23]Kalikuwa kauni haka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ndio Babaaa umecheza heko aisee

Ndio hivyo banha
Mimi nyuma Nina wadogo 5
Wakiume 1 wakike 4
Am deputy Parent [emoji848]

Yani Mimi ni Makamu Mzazi
Nawaona ma Last born wamekaa kidenzi Sana Hata kama ni mtu mzima
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 

Hahaha acha tu uliondoka mpolee


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume kupika chapati hiyo Kali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…