Uzi wa Ma Vibes Nje na Ndani...

Uzi wa Ma Vibes Nje na Ndani...

Mweh vya kuchaga sivijui uduguuu cousin Missy Gf atusaidie alisema yupo huko kama sijakosea!!
Mi kwenye mapishi mtupuuuuu🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤣!

Mweh vya kuchaga sivijui uduguuu cousin Missy Gf atusaidie alisema yupo huko kama sijakosea!!
Mi kwenye mapishi mtupuuuuu🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤣!
Hahaha aseme nimtupie recipe ya nini...kichuri au mtori 😋au loshoro
 
🤣🤣🤣 Unajua kupika ugali wa kisukuma!!
miss Gf ni mhaya yeye anifundishe katerelo shosti yangu
! Ugali najuaaa🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠🤠🤠🤣!🤣🤣!

Hahaa namie saivi kartexxx naimanyaaa usintanieee weeee😛😛!!
Itabidi one day tuwe wageni wa Aaliyyah atupe kozi fupi ya kumchanganya mwanaume jikonii lol!!
Si wanasema mwanaume kwanza ashibeeee uduguuu???🤠!
 
! Ugali najuaaa🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠🤠🤠🤣!🤣🤣!

Hahaa namie saivi kartexxx naimanyaaa usintanieee weeee😛😛!!
Itabidi one day tuwe wageni wa Aaliyyah atupe kozi fupi ya kumchanganya mwanaume jikonii lol!!
Si wanasema mwanaume kwanza ashibeeee uduguuu???🤠!
😂😂Kuwachanganya wanaume gani nduguzangu Hawa ambao wameshachanganyikiwa 😂😂😂
 
! Ugali najuaaa🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠🤠🤠🤣!🤣🤣!

Hahaa namie saivi kartexxx naimanyaaa usintanieee weeee😛😛!!
Itabidi one day tuwe wageni wa Aaliyyah atupe kozi fupi ya kumchanganya mwanaume jikonii lol!!
Si wanasema mwanaume kwanza ashibeeee uduguuu???🤠!
Ewaaaah!! Wewe nipe kozi ya katerelo, mwenzio ya jikoni.
Nikitoka hapo nimekwiva jikoni na kitandani😂😂😂
 
Back
Top Bottom