Uzi wa Ma Vibes Nje na Ndani...

Mweh vya kuchaga sivijui uduguuu cousin Missy Gf atusaidie alisema yupo huko kama sijakosea!!
Mi kwenye mapishi mtupuuuuu🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤣!

Mweh vya kuchaga sivijui uduguuu cousin Missy Gf atusaidie alisema yupo huko kama sijakosea!!
Mi kwenye mapishi mtupuuuuu🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤣!
Hahaha aseme nimtupie recipe ya nini...kichuri au mtori 😋au loshoro
 
🤣🤣🤣 Unajua kupika ugali wa kisukuma!!
miss Gf ni mhaya yeye anifundishe katerelo shosti yangu
! Ugali najuaaa🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠🤠🤠🤣!🤣🤣!

Hahaa namie saivi kartexxx naimanyaaa usintanieee weeee😛😛!!
Itabidi one day tuwe wageni wa Aaliyyah atupe kozi fupi ya kumchanganya mwanaume jikonii lol!!
Si wanasema mwanaume kwanza ashibeeee uduguuu???🤠!
 
😂😂Kuwachanganya wanaume gani nduguzangu Hawa ambao wameshachanganyikiwa 😂😂😂
 
Ewaaaah!! Wewe nipe kozi ya katerelo, mwenzio ya jikoni.
Nikitoka hapo nimekwiva jikoni na kitandani😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…